spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 7,557 Reaction score 20,477 Jun 18, 2023 #21 Brigedia Gen said: Kama Mesi aliomba kuondoka PSG. Raheem Sterling aliomba kuondoka Mancity timu tajiri, cha ajabu nini kwa kina Bangala. Click to expand... Sasa kama Kalvin Phillips Donny Van da baek walicheza mechi dk 3 3 ajabu ya okwa ni ipi?
Brigedia Gen said: Kama Mesi aliomba kuondoka PSG. Raheem Sterling aliomba kuondoka Mancity timu tajiri, cha ajabu nini kwa kina Bangala. Click to expand... Sasa kama Kalvin Phillips Donny Van da baek walicheza mechi dk 3 3 ajabu ya okwa ni ipi?
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Jun 18, 2023 #22 Umbumbumbu ni sikio la kufa
M makwega7 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2018 Posts 3,037 Reaction score 3,316 Jun 18, 2023 #23 spidernyoka said: Ngoja tuhoji kwanini Bangala Mayele Lomalisa na Juma Shabani wanaomba kuondoka Click to expand... Na JiiEsiEmu pia ameshapewa thank you, huku Albati Bashite anarudi kuwa RC wa Mzizima. Na bakuli linarudi tena. Haya basi Makolodundukaz furahini mnenepe maana ndio mnayopenda kuyasikia haya.
spidernyoka said: Ngoja tuhoji kwanini Bangala Mayele Lomalisa na Juma Shabani wanaomba kuondoka Click to expand... Na JiiEsiEmu pia ameshapewa thank you, huku Albati Bashite anarudi kuwa RC wa Mzizima. Na bakuli linarudi tena. Haya basi Makolodundukaz furahini mnenepe maana ndio mnayopenda kuyasikia haya.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Jun 18, 2023 #24 bryan2 said: Halafu mkabeba kombe gani kaka mkubwa. Click to expand... Hujajibu swali ulilo ulizwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
bryan2 said: Halafu mkabeba kombe gani kaka mkubwa. Click to expand... Hujajibu swali ulilo ulizwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]