Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Bodi ya Ligi mnatusikitisha sana, mnatufanya tuwe na wasiwasi sana na uwezo wenu, yaani Bangala awanie mchezaji bora halafu F
George Mpole aachwe? Kwann mmetudharau sana watanzania kiasi hiki, mchezaji kutoka Geita Gold ya Mwanza, timu iliyopanda daraja msimu huu isiyo kuwa na wachezaji wa kimataifa, yenye kocha mswahili bado imetoa mfungaji bora msimu huu akiwa na mibao 17, amefunga kwenye mechi ngumu ikiwemo Simba ikiwa na mabeki wake wa kimataifa Inonga na Onyango, watanzania wote tumeona uwezo wa George Mpole, Leo mnatuambia hastahili kuwania tuzo ya mchezaji bora, jamani.
Bodi ya ligi wangeweza hata kusema mchezaji bora mwaka huu wagombanie akina Nyosso, Duchu na Abdi Banda bado tungekaa kimya maana hata hao waandishi hatuoni la maana wanalofanya, wao kila siku wanahoji bilioni 20 za Mo dewji.
Watanzania tuamke, serikali iingilie kati huu uhuni, George Mpole anastahili kuwania tuzo, yaani wacongo wote ndio wachezaji bora bongo, duh.Kweli tunangamia.
George Mpole aachwe? Kwann mmetudharau sana watanzania kiasi hiki, mchezaji kutoka Geita Gold ya Mwanza, timu iliyopanda daraja msimu huu isiyo kuwa na wachezaji wa kimataifa, yenye kocha mswahili bado imetoa mfungaji bora msimu huu akiwa na mibao 17, amefunga kwenye mechi ngumu ikiwemo Simba ikiwa na mabeki wake wa kimataifa Inonga na Onyango, watanzania wote tumeona uwezo wa George Mpole, Leo mnatuambia hastahili kuwania tuzo ya mchezaji bora, jamani.
Bodi ya ligi wangeweza hata kusema mchezaji bora mwaka huu wagombanie akina Nyosso, Duchu na Abdi Banda bado tungekaa kimya maana hata hao waandishi hatuoni la maana wanalofanya, wao kila siku wanahoji bilioni 20 za Mo dewji.
Watanzania tuamke, serikali iingilie kati huu uhuni, George Mpole anastahili kuwania tuzo, yaani wacongo wote ndio wachezaji bora bongo, duh.Kweli tunangamia.