Wanaandamana kupinga kuondolewa kwa wahamiaji haramu Marekani huku wakipeperusha bendera za Mexico, Honduras, na nchi zinginezo

Wanaandamana kupinga kuondolewa kwa wahamiaji haramu Marekani huku wakipeperusha bendera za Mexico, Honduras, na nchi zinginezo

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Huu ni ujinga. Ni upumbavu wa hali ya juu.

Hawa ni waandamanaji wanaopinga sera za Rais wa sasa wa Marekani za kukabiliana na suala na uhamiaji haramu.

Wengi wa hawa waandamanaji ni Walatino.

Hapa ni katika moja ya viunga vya mji wa Atlanta, GA.

Wanaadamana kupigania istihaki [privilege] ya kubaki na kuishi Marekani huku wakipeperusha bendera za nchi walizotoka [au nchi za asili yao].

Upumbavu kama huu ndo unawafanya Wamarekani walio wengi kuunga mkono juhudi za Rais wa Marekani za kukabiliana na uhamiaji haramu.

Utapiganiaje istihaki ya kutaka ubaki na kuishi Marekani huku ukipeperusha bendera ya nchi zingine?

Kama unajivunia sana asili yako ya huko utokako, si urudi/ uende huko ukaishi?

Matendo kama hayo ndo yanasababisha wakose huruma za watu.

Watu wamehatarisha maisha yao ili tu waende kuishi na kufanya kazi Marekani halafu wakifika huko wanaanza kupeperusha mabendera ya mataifa mengine.

Uwendawazimu kabisa huo.

Wahamiaji haramu hawana haki yoyote ile ya kuendelea kubaki Marekani. Warudi tu huko makwao wawe wanalipa kodi huko huku wakipeperusha mabendera yao.

So disrespectful.


View: https://youtu.be/3ARSCXqDpGI?si=mrwqB5UUz2KPDkqc
 
Huu ni ujinga. Ni upumbavu wa hali ya juu.

Hawa ni waandamanaji wanaopinga sera za Rais wa sasa wa Marekani za kukabiliana na suala na uhamiaji haramu.

Wengi wa hawa waandamanaji ni Walatino.

Hapa ni katika moja ya viunga vya mji wa Atlanta, GA.

Wanaadamana kupigania istihaki [privilege] ya kubaki na kuishi Marekani huku wakipeperusha bendera za nchi walizotoka [au nchi za asili yao].

Upumbavu kama huu ndo unawafanya Wamarekani walio wengi kuunga mkono juhudi za Rais wa Marekani za kukabiliana na uhamiaji haramu.

Utapiganiaje istihaki ya kutaka ubaki na kuishi Marekani huku ukipeperusha bendera ya nchi zingine?

Kama unajivunia sana asili yako ya huko utokako, si urudi/ uende huko ukaishi?

Matendo kama hayo ndo yanasababisha wakose huruma za watu.

Watu wamehatarisha maisha yao ili tu waende kuishi na kufanya kazi Marekani halafu wakifika huko wanaanza kupeperusha mabendera ya mataifa mengine.

Uwendawazimu kabisa huo.

Wahamiaji haramu hawana haki yoyote ile ya kuendelea kubaki Marekani. Warudi tu huko makwao wawe wanalipa kodi huko huku wakipeperusha mabendera yao.

So disrespectful.


View: https://youtu.be/3ARSCXqDpGI?si=mrwqB5UUz2KPDkqc

Hili gemu litawalostisha wabongo wengi mno, tusubiri tu kurudi kwao bila hata nguo. Maana unakamatwa unarudishwa hivyo hivyo bila chochote, sana sana gazette tu au mfuko wa rambo ulio na sandwich.
 
Hili gemu litawalostisha wabongo wengi mno, tusubiri tu kurudi kwao bila hata nguo. Maana unakamatwa unarudishwa hivyo hivyo bila chochote, sana sana gazette tu au mfuko wa rambo ulio na sandwich.
Unazijua immigration statuses za wabongo waishio Marekani?
 
Huu ni ujinga. Ni upumbavu wa hali ya juu.

Hawa ni waandamanaji wanaopinga sera za Rais wa sasa wa Marekani za kukabiliana na suala na uhamiaji haramu.

Wengi wa hawa waandamanaji ni Walatino.

Hapa ni katika moja ya viunga vya mji wa Atlanta, GA.

Wanaadamana kupigania istihaki [privilege] ya kubaki na kuishi Marekani huku wakipeperusha bendera za nchi walizotoka [au nchi za asili yao].

Upumbavu kama huu ndo unawafanya Wamarekani walio wengi kuunga mkono juhudi za Rais wa Marekani za kukabiliana na uhamiaji haramu.

Utapiganiaje istihaki ya kutaka ubaki na kuishi Marekani huku ukipeperusha bendera ya nchi zingine?

Kama unajivunia sana asili yako ya huko utokako, si urudi/ uende huko ukaishi?

Matendo kama hayo ndo yanasababisha wakose huruma za watu.

Watu wamehatarisha maisha yao ili tu waende kuishi na kufanya kazi Marekani halafu wakifika huko wanaanza kupeperusha mabendera ya mataifa mengine.

Uwendawazimu kabisa huo.

Wahamiaji haramu hawana haki yoyote ile ya kuendelea kubaki Marekani. Warudi tu huko makwao wawe wanalipa kodi huko huku wakipeperusha mabendera yao.

So disrespectful.


View: https://youtu.be/3ARSCXqDpGI?si=mrwqB5UUz2KPDkqc

Hakuna wabongo hapo tuwaone? Maana kuna wengine wameenda huko karibia miaka 20 sasa hawajarudi kuona ndugu zao Bongo.
 
Marekani ukiwatoa " wahindi wekundu", kila mtu ni muhamiaji haramu.

1. Wazungu wamepora ardhi ya wahindi wekundu kimabavu.


2. Wamarekani weusi asilia ( kizazi cha watumwa) wamekwenda Marekani kiharamu Kwa sababu wamepelekwa Marekani kama watumwa na utumwa ni haramu
 
Marekani ukiwatoa " wahindi wekundu", kila mtu ni muhamiaji haramu.

1. Wazungu wamepora ardhi ya wahindi wekundu kimabavu.


2. Wamarekani weusi asilia ( kizazi cha watumwa) wamekwenda Marekani kiharamu Kwa sababu wamepelekwa Marekani kama watumwa na utumwa ni haramu
Kwa hiyo…?
 
Huu ni ujinga. Ni upumbavu wa hali ya juu.

Hawa ni waandamanaji wanaopinga sera za Rais wa sasa wa Marekani za kukabiliana na suala na uhamiaji haramu.

Wengi wa hawa waandamanaji ni Walatino.

Hapa ni katika moja ya viunga vya mji wa Atlanta, GA.

Wanaadamana kupigania istihaki [privilege] ya kubaki na kuishi Marekani huku wakipeperusha bendera za nchi walizotoka [au nchi za asili yao].

Upumbavu kama huu ndo unawafanya Wamarekani walio wengi kuunga mkono juhudi za Rais wa Marekani za kukabiliana na uhamiaji haramu.

Utapiganiaje istihaki ya kutaka ubaki na kuishi Marekani huku ukipeperusha bendera ya nchi zingine?

Kama unajivunia sana asili yako ya huko utokako, si urudi/ uende huko ukaishi?

Matendo kama hayo ndo yanasababisha wakose huruma za watu.

Watu wamehatarisha maisha yao ili tu waende kuishi na kufanya kazi Marekani halafu wakifika huko wanaanza kupeperusha mabendera ya mataifa mengine.

Uwendawazimu kabisa huo.

Wahamiaji haramu hawana haki yoyote ile ya kuendelea kubaki Marekani. Warudi tu huko makwao wawe wanalipa kodi huko huku wakipeperusha mabendera yao.

So disrespectful.


View: https://youtu.be/3ARSCXqDpGI?si=mrwqB5UUz2KPDkqc

Poleni sana, mnaponzwa na wajinga wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom