WANABODI NAOMBA MNISAIDIE JAMBO HILI

WANABODI NAOMBA MNISAIDIE JAMBO HILI

FCR

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2018
Posts
213
Reaction score
177
Mimi nimenunua kiwanja kikiwa hakina alama yoyote ya kaburi na baada ya kununua ndugu wa yule aliyenuzia anakuja ananiambia kwamba hapa kwenye kiwanja Changu Kuna kaburi na baada ya kuniambia anajengelea hiyo kaburi vizuri bila ruhusa yangu mimi mnunuzi na baada ya kujenga Mimi nimevunja hiyo kaburi bila kuhusisha uongozi wowote je kwa hali hiyo Mimi hapa nimetenda kosa au sijatenda kosa?maana naona msalaba was marehemu umechukuliwa na ndugu wa marehemu sijajua huko wanaenda kufanya nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimenunua kiwanja kikiwa hakina alama yoyote ya kaburi na baada ya kununua ndugu wa yule aliyenuzia anakuja ananiambia kwamba hapa kwenye kiwanja Changu Kuna kaburi na baada ya kuniambia anajengelea hiyo kaburi vizuri bila ruhusa yangu mimi mnunuzi na baada ya kujenga Mimi nimevunja hiyo kaburi bila kuhusisha uongozi wowote je kwa hali hiyo Mimi hapa nimetenda kosa au sijatenda kosa?maana naona msalaba was marehemu umechukuliwa na ndugu wa marehemu sijajua huko wanaenda kufanya nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wa kuuziana ndugu walihusika kama mashahidi? Ni vizuri kuonana na uongozi wa boma na balozi tunaponunua hivi vipande vya shamba
 
Kiwanja kimesajiliwa? Ulifanya investigation ya kutosha kwenye kiwanja uweze kujiridhisha kwenye LATENT and PATENT defects??

#ESQUIRE
 
Back
Top Bottom