Uchaguzi 2020 WanaCCM walioichafua CCM 2015 hawana moral Authority ya kurejea 2020

Uchaguzi 2020 WanaCCM walioichafua CCM 2015 hawana moral Authority ya kurejea 2020

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Wapo wana CCM walioamua kuichafua CCM Mwaka 2015 kisa ni maslahi yao binafsi (sio kufuta upepo wa Lowassa) yaani waliamua kufanya fitina ili CCM ianguke ingawa CCM haikunga ili survive ..ilipambana na baada ya hapo wana CCM hawa wakarejea kinafiki ndani ya CCM na kuanza tena tabia zao chafu za kuendekeza majungu,uongo,ulaghai ,kujenga mitandao na kutoa rushwa hasa nyakati hizi za uchaguzi...
Waraka huu utumike kuwaeleza kuwa kamwe hawatatoboa na CCM itashinda kwa kishindo kikuu.

Tutawaumbua na tutawadhibiti vilivyo



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Mtawafanya nini sasa wkt baba lao Lowassa emesharudi na kupokelewa na mwenyekiti wa CCM taifa huku akimsifia 'baba wa watu ni mchapa kazi, hajawahi kunitukana kwny kampeni zake, amelitumikia taifa hili kwa uzalendo.'
 
Wanarudi CCM sio kwakuwa CCM ni bora au imara, ila ni kwakuwa ina Mwenyekiti kupitia kofia yake ya Urais, anaweza kunajisi uchaguzi na wao kupata madaraka. Ingekuwa kuna kiongozi anayeheshimu box la kura, usingemuona yoyote kurudi, na tena wengine wengi wangeachana na utumwa wa ccm.
 
Watu Kama nyie ndio mnaanzisha makundi ndani ya chama. Mwenyekiti anasisitiza chama kuwa na umoja. Nyie mmesha Anza kutafuta ccm hasili na sijui Nani alifanya Nini mwaka gani!

Dhambi ya ubaguzi haijawahi kumwacha mtu salama na hua haiishii kwa unaemwona adui itakwenda zaidi na itakata usipotegemea.
Mwenyekiti anajua swala la usaliti limejaa sababu nyingi hasa kutokuwepo kwa usawa wakati wa kinyang'anyiro na matumizi makubwa ya rushwa, kubebana na ubaguzi kitu kinachowafanya baadhi ya makada kutoridhika na maamuzi ya chama.

Kwakuzingatia tabia na ukiritimba uliokuwepo, mwenyekiti kaomba wote warejee nyumbani na wote wanahaki sawa. Aliekuja Jana na aliekuwepo. Aliekuwa mwenyekiti wa upinzani na aliepewa ticket na upinzani kugombea, aliebaki kwenye chama Ila anasuport upinzani na ambaye alisusa kabisa na yule aliyepigania chama wote Wana Haki sawa.

Hatushughuliki na dhambi za kale dhamila yetu ni kuishika dola na si kusodoana. Siku nyingine tafuta ushindi kwa kuonyesha ubora wako na si ubovu wa mwenzako.

Umoja ni ushindi.
 
Pambaneni na hali zenu huko Mafikizolo,inzile na Gweregwere!!

Mafikizolo -Wazawa - Wenye chama - Kina Kikwete, Kamba, Lowassa etc
Inzile -Wakuja - Cyprian ,Bashiru, Makonda, Polepole
Gweregwere - Wahamiaji - Makarai, Ng'ombe waliokatwa mikia etc Waitara, Molleli, Mtulia, kafulila, Mtatiro etc
 
Back
Top Bottom