Habari JF,
Ni wazi kuwa Rais Samia atashinda uchaguzi wa 2025 kwa namna yoyote ile. Hili liko wazi hata kwa wapinzani ambao tayari wamelielewa. Na hii sifia sifia ina ahadi nzuri ndani yake.
Hivyo, 2025 goli liko wazi kwa nafasi za ubunge na udiwani. Kitakachotokea ni kwamba wabunge wataingia bungeni kwa nguvu zao na madiwani pia haitajalisha chama iwe CCM au CHADEMA.
Kwa maana hiyo, hakutakuwa na unafiki na hapo ndipo tutasikia mengi sana kuhusu shujaa JPM yaliyokuwa yanaogopeka kusemwa.
Tuwe na akiba ya maneno, maana yajayo yanafurahisha. Lakini pia, 2025 goli liko wazi, vijana tuchangamkie fursa ya ajira ya siasa.
Ni wazi kuwa Rais Samia atashinda uchaguzi wa 2025 kwa namna yoyote ile. Hili liko wazi hata kwa wapinzani ambao tayari wamelielewa. Na hii sifia sifia ina ahadi nzuri ndani yake.
Hivyo, 2025 goli liko wazi kwa nafasi za ubunge na udiwani. Kitakachotokea ni kwamba wabunge wataingia bungeni kwa nguvu zao na madiwani pia haitajalisha chama iwe CCM au CHADEMA.
Kwa maana hiyo, hakutakuwa na unafiki na hapo ndipo tutasikia mengi sana kuhusu shujaa JPM yaliyokuwa yanaogopeka kusemwa.
Tuwe na akiba ya maneno, maana yajayo yanafurahisha. Lakini pia, 2025 goli liko wazi, vijana tuchangamkie fursa ya ajira ya siasa.