Tofauti na baadhi ya watu wanavyodhani kuhusu mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya, kwa sasa wanaCCM wengi wenye uelewa mpana tunataka uwepo wa serikali ya Tatu ya Tanganyika.
Wakati kukiwa na juhudi na nguvu kubwa kwa baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM 'kuwakaririsha' wanaCCM sehemu mbalimbali nchin ili waweze kwenda kusema mbele ya tume ya Katiba mpya kuwa wanataka serikali mbili, lakini hali inazidi kuwa mbaya na tofauti kwa wanaCCM wengi wenye uelewa ambao kwa dhati tunataka serikali Tatu.
Uchunguzi wangu binafsi nilioufanya toka semina za wanaCCM zianze ule wimbo wa kuwaimbisha wanaCCM kusema serikali mbili unaelekea kuchuja maana wengi wa wanaCCM wameshindwa kupata sababu za msingi kwanini iwe serikali mbili na wala sio serikali tatu kama rasimu ya katiba inavyopendekeza?
Wakati kukiwa na juhudi na nguvu kubwa kwa baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM 'kuwakaririsha' wanaCCM sehemu mbalimbali nchin ili waweze kwenda kusema mbele ya tume ya Katiba mpya kuwa wanataka serikali mbili, lakini hali inazidi kuwa mbaya na tofauti kwa wanaCCM wengi wenye uelewa ambao kwa dhati tunataka serikali Tatu.
Uchunguzi wangu binafsi nilioufanya toka semina za wanaCCM zianze ule wimbo wa kuwaimbisha wanaCCM kusema serikali mbili unaelekea kuchuja maana wengi wa wanaCCM wameshindwa kupata sababu za msingi kwanini iwe serikali mbili na wala sio serikali tatu kama rasimu ya katiba inavyopendekeza?