Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Mleta uzi unajaribu kubackmail wasomaji, wewe sio mwana CCM hata kwa maneno yako tu.
Hapa serikali mbili tu.
1+1=2 :A S thumbs_up: :A S thumbs_up::amen:
If 1+1=3 you need:help:
tunataka ushahidi wa unayoyasema kwa takwimu siyo maneno ya kijiweni. uchunguzi umeufanya kwa njia ipi? kwa kusafiri? kwa kusikia mwenyewe? kwa kuambiwa? tupe data kamili
Kwani Nape anachangia kiasi gani katika hio gharama ? JK na wizi wenziwe au magamba wanachangia kiasi gani katika huu muungano ? Muungano unaishi kwa rasilimali watu wa Tanzania,na rasilimali za nchi ndani ya tanzania na misaada, mchango mkubwa unao tolewa na ccm /magamba au samaki, kuiba mali za umma, huo ndio mchango wao, kufa kwa ccm ni serikali tatu.,watanzania tulio wengi tuna itaka tanganyika...ila kuna sababu vipo nyuma ya pazia wakina Nape hawataki, na visingizio vyao kuwa ni garama.
Kwa kiasi kikubwa wale vinara wa kudai Serikali tatu wanasukumwa, hasa mambo makuu mawili:
1. Kwanza, ni Wazanzibari wenye msimamo mkali, na ambao wengi wao wanadhani wakipata Serikali ya Zanzibar yenye mamlaka kamili wataweza kupata manufaa kutoka nchi za kiarabu.
2. Pili, ni Watanganyika wakristo (wenye msimamo makali wenye udini)
na ambao wengi wao wanadhani kwa kutengana na Zanzibar watapata
nguvu zaidi ya kukamata nchi kwa ukamilifu na watanufaika zaidi
kama dini, hawa wanadhani hivi sasa Wazanzibar wanawaletea kiza.
Kwani Nape anachangia kiasi gani katika hio gharama ? JK na wizi wenziwe au magamba wanachangia kiasi gani katika huu muungano ? Muungano unaishi kwa rasilimali watu wa Tanzania,na rasilimali za nchi ndani ya tanzania na misaada, mchango mkubwa unao tolewa na ccm /magamba au samaki, kuiba mali za umma, huo ndio mchango wao, kufa kwa ccm ni serikali tatu.,
Chadema unachukua Tanganyika, Zanzibar cuf, hapo na katika serikali ya muungano, tutapiga kura ndani ya bunge la muungano, tutaweka utaratibu maalum wa kupiga kura ndani ya kibunge cha muungano, badala ya kutumia rasilimali watu na rasilimali za nchi kumteuwa rais wa muungano, ni gharama ambazo tunaweza kupunguza.
Mambo matano kama tutayapunguza katika muungano tutaipunguzia mzigo mkubwa serikali ya muungano hata tanganyika na zanzibar zitapunguza gharama za kuchangia.
Uraia na uhamiaji
Benki na sarafu,
Vyama vya siasa.
Haya tunataka tuyaondoe katika orodha ya muungano, kwisha kabisa.
Wakenya lazima watudharau sana hivi tunatengeneza katiba ya vyama au ya nchi miaka hamsini hadi mia ijayo!!mambo ya ccm kukataa serikali tatu yanatoka wapi???ccm kweli imefika mwisho hakuna hata mwenye ufahamu kuwa tunatengeneza katiba mpya ya nchi na sio ya chama fulani huo ni ubinafsi wa kudhani itatawala milele.
Hii ni ishara ya kuonyesha kuwa CCM hakuna demokrasia huwezi ukamlazimisha mtu afuate unachokitaka wewe hata kama ni mwanachama wa chama chako wakati naye amepewa haki ya kutoa maoni yake kama raia halafu wewe unamlazimisha afuate maoni yako.
Nape ni vuvuzela tu!... Jiulize alitumwa na nani kuwatukana kina Lowassa. Kwa nini ameacha?