Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,730
- 11,576
Mwalimu alikuwa anafundisha kuhusu utawala ikawa hivi;
Mwalimu:diwani anachaguliwa na wananchi,Rais na wabunge wanachaguliwa na wananchi na....(ghafla wanafunzi wa upande wa nyuma wanaanza kuongea na kubishana)
Mwalimu🙁akiwa amekasirika)halafu humu darasani kuna watu wanajifanya MUCH KNOW.Dogo mmoja akasimama
Dogo:mwalimu naomba kujua hao MUCH KNOW wanachaguliwa na nani?
Hii ndio sababu ya Dogo kutembelea magongo.
Mwalimu:diwani anachaguliwa na wananchi,Rais na wabunge wanachaguliwa na wananchi na....(ghafla wanafunzi wa upande wa nyuma wanaanza kuongea na kubishana)
Mwalimu🙁akiwa amekasirika)halafu humu darasani kuna watu wanajifanya MUCH KNOW.Dogo mmoja akasimama
Dogo:mwalimu naomba kujua hao MUCH KNOW wanachaguliwa na nani?
Hii ndio sababu ya Dogo kutembelea magongo.