Wanachama na wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA taifa msikilizeni na mawaidha muhimu sana ya mzee Azaveli Lwaitama

Wanachama na wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA taifa msikilizeni na mawaidha muhimu sana ya mzee Azaveli Lwaitama

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
CHADEMA inapoelekea kwenye uchaguzi wake ngazi ya Taifa, ni muhimu sana kusikiliza kwa makini, kuzingatia, kuyashika na kuyafuata mawaidha na nasaha za mzee Azaveli Lwaitama kuhusu demokrasia ya uchaguzi wa kihistoria ndani ya chama chenu.

Ni muhimu sana, ushauri wa mzee Azaveli Lwaitama utawatuliza na utasaidia sana na kuwaweka pamoja kama familia ya wanachadema wamoja 🐒
 
Chadema inapoelekea kwenye uchaguzi wake ngazi ya Taifa, ni muhimu sana kusikiliza kwa makini, kuzingatia, kuyashika na kuyafuata mawaidha na nasaha za mzee Azaveli Lwaitama kuhusu demokrasia ya uchaguzi wa kihistoria ndani ya chama chenu.

Ni muhimu sana, ushauri wa mzee Azaveli Lwaitama utawatuliza na utasaidia sana na kuwaweka pamoja kama familia ya wanachadema wamoja 🐒
Who is lwaitama? Huyu si alikua kwenye kikosi kazi kilichopendekeza ujinga na kuacha swala katiba mpy na tume ya uchaguzi? Acha uchwa bro. Mbowe must go
 
Back
Top Bottom