johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ninachukua Fursa hii Kwa Moyo mkunjufu kabisa kuwakaribisha Ibadan Wafuasi wa Chadema ambao Jana mmepata Uongozi mpya
Ibada itakuwa saa 11 kamili jioni na Somo litatoka katika Injili ya Marko 16:12
" Basi Yesu akawatokea Watu Wawili miongoni mwao akiwa na Sura nyingine"
Karibu sana mpate kupona
Ahsanteni 🌹
Ibada itakuwa saa 11 kamili jioni na Somo litatoka katika Injili ya Marko 16:12
" Basi Yesu akawatokea Watu Wawili miongoni mwao akiwa na Sura nyingine"
Karibu sana mpate kupona
Ahsanteni 🌹