Wanachama wa JF

ulaya12

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2017
Posts
834
Reaction score
907
Natoa pendekezo hapa kwa wana jf mliomo humu tuanzishe mchakato wa uongozi kama vyuo vikuu, Tff, au hata Nchi, yaani kuwe na rais,makamu,waziri mkuu,waziri wa ulinzi nk.mimi naanza kumpendekeza Rais awe Paskal mayalla, makamu awe mshana Jr, endeleeni
 
Waziri wa Afya jinsia na watoto angekuwa Maserati

Waziri wa ulinzi angekuwa Mshana Jr

Waziri wa Michezo angekuwa @FORTULLEZA

Waziri wa nyumba na ,kazi angekuwa Maxence Melo

Waziri wa Maliasili na Utalii angekuwa Malcom LUMUMBA

Wazziri wa Kilimo angekuwa [USER=540]JamiiForums


Spika wa bunge angekuwa FaizaFoxy

Waziri wa mambo ya nje Nyani Ngabu

waziri wa shida na mipango ya ghafla Joseverest

waziri wa mawasiliano na udukuzi Mwifwa

Waziri wa sheria Invisible

waziri wa umbea na michambo deile Sky Eclat[/USER]

waziri wa utumishi na utawala TAMISEMI Deogratius Kisandu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Yan angekosekana jina la mme wangu Mshana nisingekubali
Mxiewwwwwwww nataman kingekosekana nione maandamano yako poooh dawa zimekuingiaaa mwali
 
Andaa tume ya uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…