Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your easily swindled.1. Lissu A
2. G Lema
3. Msigwa
Ngongo kwasasa Kizimkazi
Walipotoka hakuridiki, chadema hakukaliki. Maria space yatakuwa makazi yao1. Lissu A
2. G Lema
3. Msigwa
Ngongo kwasasa Kizimkazi
Subiri dawa ikuingie. Na bado. BAVICHA wamechukuwa timu Lissu. Mbowe atagaragazwa na nguvu ya umma pamoja na nyie mashabiki wake. Hivi hamuoni kuwa Mbowe kachokwa mpaka basi? Mpeni ushauri wa manufaa na siyo kumwangamiza.1. Lissu A
2. G Lema
3. Msigwa
Ngongo kwasasa Kizimkazi
Lissu peke yake ndiye katokea NCCR Mageuzi ,Lemma na Msigwa walitokea TLP. Yote kwa yote Mbowe must go.1. Lissu A
2. G Lema
3. Msigwa
Ngongo kwasasa Kizimkazi
Sawa sijui wewe nyumbu wa Sultan ndiyo unajua kila kitu hata Google inasubiri,ila Mbowe must go!!!Wewe hujui kitu.
Kwani ni vita wanapigana?.mnalazimisha siasa ziwe kama ugomvi.wajumbe wataamua kwenye kura na maisha yataendelea.Mbowe na lissu wote waliwai kugombea urais na hawakushinda na hakukua na cha ajabu.ata sasa hakuna cha ajabu chochote kitakachotokea yoyote akishinda zaidi ya porojo mitandaoni na baada ya wiki mbili zimesahaulika.Subiri dawa ikuingie. Na bado. BAVICHA wamechukuwa timu Lissu. Mbowe atagaragazwa na nguvu ya umma pamoja na nyie mashabiki wake. Hivi hamuoni kuwa Mbowe kachokwa mpaka basi? Mpeni ushauri wa manufaa na siyo kumwangamiza.
Nyumbu wa Mbowe ndiyo wanatamani ugomvi utokee ambayo ni matamanio makubwa ya CCM halafu tukisema Mbowe kaingizwa kwenye payroll ya CCM kuna Nyumbu wanabisha.Kwani ni vita wanapigana?.mnalazimisha siasa ziwe kama ugomvi.wajumbe wataamua kwenye kura na maisha yataendelea.Mbowe na lissu wote waliwai kugombea urais na hawakushinda na hakukua na cha ajabu.ata sasa hakuna cha ajabu chochote kitakachotokea yoyote akishinda zaidi ya porojo mitandaoni na baada ya wiki mbili zimesahaulika.
Kubwa zima kunywa visungura matokeo yake ndiyo haya.Chadema waliiba Katiba ya NCCR Mageuzi wakati wa Usajili
Hivyo wenye Katiba ya Kwanza ndio wenye Chama
Happy New Year 😄
Uongozi uliojaa rushwa unaondoka, hilo ndilo muhimu. Haya mengine ni mahangaiko yako tu, na ndiyo maana umemaliza shule bila kujua kuandika maneno ya kiswahili kwa usahihi.Kwani ni vita wanapigana?.mnalazimisha siasa ziwe kama ugomvi.wajumbe wataamua kwenye kura na maisha yataendelea.Mbowe na lissu wote waliwai kugombea urais na hawakushinda na hakukua na cha ajabu.ata sasa hakuna cha ajabu chochote kitakachotokea yoyote akishinda zaidi ya porojo mitandaoni na baada ya wiki mbili zimesahaulika.
Sijui nikwambie😄😂😂😆Chadema waliiba Katiba ya NCCR Mageuzi wakati wa Usajili
Hivyo wenye Katiba ya Kwanza ndio wenye Chama
Happy New Year 😄
Chadema hawanaga uwezo wa kutengeneza Katiba ndio sababu waliwachukua Marando na Tundu Lisu 😂😂😂😂Sijui nikwambie😄😂😂😆
Wakati huo Wewe ulikuwa unalisha nguruwe MachameKubwa zima kunywa visungura matokeo yake ndiyo haya.