Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,304
- 830
Kuna Dalili ya Kuingia Sherehe za May Mosi Bila Kuwa na Jezi za TALGWU.
Mpaka leo April 29 hakuna mzigo wa kofia wala tisheti ulioingia na kugawiwa, viongoz dako kimya. Inaonekana Wako Kuvutana Aina ya Tsheti. Kweli Mwaka Mzima Hamjaamua ni zipi zakununua, Me naona kuna kajambo wanataka kukafanya watupge hata hz za jezi
Naomba anayejua vile namna yakujitoa kwenye hili chama lao maana toka niingie sijawahi ona faida yake, matatizo lukuki ya wafanyakazi, kunyanyaswa, kubambikiwa case, likizo na kuhamishwa bila malipo lakin hakuna wanachotetea.
Message ya Saa Hii:
watumishi na wanachama wa TALGWU mkoa wa Morogoro. Tarehe 29/4/2022.
YAH. SARE (T-SHIRT) ZA MEIMOSI MWAKA 2022.
Kila mwaka watumishi kote duniani huadhomisha sherehe za meimosi. Madhimisho haya kwa kawaida huenda sambamba na ugawaji wa sare (t-shirt) za meimosi kwa wanachama wa kila chama Cha wafanyakazi. Kwa msingi huo baai:-
1. Naaikitika kuwataarifu wanachama wa TALGWU mkoa wa Morogoro kwamba siku ya meimosi kwa maana ya tarehe 1/5/2022 hatutakuwa na sare za meimosi za mwaka 2022. Hii ni kwa sababu tisheti zilizotengenezwa na kusambazwa mikoa yote ya Tanzania bara haziko kwenye ubora unaotakiwa ambao sisi viongozi tulipendekeza na tukakubaliana. Kwa mantiki hiyo sisi wenyeviti mikoa yote tukawa na msimamo kuzikataa hizo tisheti kutokana nabubovu wake na hazitagawiwa kwa mwanacha yeyote na zimerudishwa hq kwa ajiri ya kuridishwa kwa mzabuni.
2. Hatua zimechukuliwa za haraka kutengeneza sare (t-shirt) zingine ambazo zenye ubora tunao uhitaji na zitaanza kusambazwa kesho kwa kuanza na wilaya ambako meimosi inaazimishwa kimkoa. Kwa mkoa wa Morogoro meimosi kimkoa inaazimishwa wilaya ya Kilosa mji mdogo wa mikumi. Hata hivyo kutokana baada ya meimosi sare zitaindelea kutengenezwa na baadae kusambazwa kwa mikoani na baadae kwa wanachama wetu ingawa hatutazivaa siku ya maazimisho.
3. Kwa niaba ya chama Cha Talgwu mkoa wa Morogoro. Nitumie fulsa hii kuwaomba radhi watumishi na wanachama wote mkoa wa Morogoro. Changamoto hutokea mara popote lakini pia ndo husaidia kufanya maboresho. Kwa hiyo ninaomba muwe watulivu swala la sare linashugulikiwa kwa haraka.
5. Pamoja na changamoto hii sisi viongozi wenu imetuumiza mno. Niwaombe kwa heshima zote. Siku ya meimosi tunaweza kuvaa sare zetu za mwaka Jana kwa aliye nayo sare yoyote anaweza kuvaa.
Mwisho nawatakieni maandalizi na maazimisho mema ya sikukuu ya wafanyakazi Duniani kote. Mungu akasimame na mama aweze kutoa tamko lenye neema.
Wanazidi Kunikasirisha tu[emoji35]
Mpaka leo April 29 hakuna mzigo wa kofia wala tisheti ulioingia na kugawiwa, viongoz dako kimya. Inaonekana Wako Kuvutana Aina ya Tsheti. Kweli Mwaka Mzima Hamjaamua ni zipi zakununua, Me naona kuna kajambo wanataka kukafanya watupge hata hz za jezi
Naomba anayejua vile namna yakujitoa kwenye hili chama lao maana toka niingie sijawahi ona faida yake, matatizo lukuki ya wafanyakazi, kunyanyaswa, kubambikiwa case, likizo na kuhamishwa bila malipo lakin hakuna wanachotetea.
Message ya Saa Hii:
watumishi na wanachama wa TALGWU mkoa wa Morogoro. Tarehe 29/4/2022.
YAH. SARE (T-SHIRT) ZA MEIMOSI MWAKA 2022.
Kila mwaka watumishi kote duniani huadhomisha sherehe za meimosi. Madhimisho haya kwa kawaida huenda sambamba na ugawaji wa sare (t-shirt) za meimosi kwa wanachama wa kila chama Cha wafanyakazi. Kwa msingi huo baai:-
1. Naaikitika kuwataarifu wanachama wa TALGWU mkoa wa Morogoro kwamba siku ya meimosi kwa maana ya tarehe 1/5/2022 hatutakuwa na sare za meimosi za mwaka 2022. Hii ni kwa sababu tisheti zilizotengenezwa na kusambazwa mikoa yote ya Tanzania bara haziko kwenye ubora unaotakiwa ambao sisi viongozi tulipendekeza na tukakubaliana. Kwa mantiki hiyo sisi wenyeviti mikoa yote tukawa na msimamo kuzikataa hizo tisheti kutokana nabubovu wake na hazitagawiwa kwa mwanacha yeyote na zimerudishwa hq kwa ajiri ya kuridishwa kwa mzabuni.
2. Hatua zimechukuliwa za haraka kutengeneza sare (t-shirt) zingine ambazo zenye ubora tunao uhitaji na zitaanza kusambazwa kesho kwa kuanza na wilaya ambako meimosi inaazimishwa kimkoa. Kwa mkoa wa Morogoro meimosi kimkoa inaazimishwa wilaya ya Kilosa mji mdogo wa mikumi. Hata hivyo kutokana baada ya meimosi sare zitaindelea kutengenezwa na baadae kusambazwa kwa mikoani na baadae kwa wanachama wetu ingawa hatutazivaa siku ya maazimisho.
3. Kwa niaba ya chama Cha Talgwu mkoa wa Morogoro. Nitumie fulsa hii kuwaomba radhi watumishi na wanachama wote mkoa wa Morogoro. Changamoto hutokea mara popote lakini pia ndo husaidia kufanya maboresho. Kwa hiyo ninaomba muwe watulivu swala la sare linashugulikiwa kwa haraka.
5. Pamoja na changamoto hii sisi viongozi wenu imetuumiza mno. Niwaombe kwa heshima zote. Siku ya meimosi tunaweza kuvaa sare zetu za mwaka Jana kwa aliye nayo sare yoyote anaweza kuvaa.
Mwisho nawatakieni maandalizi na maazimisho mema ya sikukuu ya wafanyakazi Duniani kote. Mungu akasimame na mama aweze kutoa tamko lenye neema.
Wanazidi Kunikasirisha tu[emoji35]