Thinker II
Member
- Aug 20, 2015
- 65
- 12
UKAWA msikatishwe tamaa na hao wapinga umoja,kisa uchu wa madaraka. Wanaojitoa ndani ya UKAWA, wao siyo wa kwanza kwani hata hayati baba wa Taifa, alishuhudia wanaTANU na wanaASP wasiopenda mabadiliko, waliendelea kunyanyua mabango yaliyoandikwa "HATUITAKI CCM". Lakini baadae waliona maamuzi ya viongozi wa TANU na ASP yalikuwa na nia njema kwa watanzania wote.
Viongozi wa CHADEMA, NLD, NCCR na CUF, msikatishwe tamaa na hao wachache. Waangalieni waasisi wa vyama vya TANU na ASP,na mjifunze toka kwao. Mbatia usigeuke nyuma Kwan UKAWA ndio sauti ya watanzania.
Viongozi wa CHADEMA, NLD, NCCR na CUF, msikatishwe tamaa na hao wachache. Waangalieni waasisi wa vyama vya TANU na ASP,na mjifunze toka kwao. Mbatia usigeuke nyuma Kwan UKAWA ndio sauti ya watanzania.