johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msimamo wa Zitto Kabwe na ACT Wazalendo ni kuanza na Mchakato wa Tume Huru ya Uchaguzi halafu Katiba Mpya ipatikane baadae
Cha ajabu jana Zitto Kabwe kakimbilia Tunduru nchini Tanganyika na kuwataka Wananchi waamue kama ACT iendelee na SUK au ijitoe
Sasa unajiuliza SUK na Tunduru wapi na wapi?
Zanzibar Wana Katiba yao kwanini msimalizane hukohuko
Je, kwa kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyekuwepo 2020 Rais Mwinyi amevunja sheria gani?
Wewe Zitto Kabwe wenzako walikuambia pigania Katiba Mpya hiyo Tume Huru ya Uchaguzi utaikuta humohumo, uwe unaelewa wewe Mkigoma
Alhamisi Ubarikiwe Sana!
Cha ajabu jana Zitto Kabwe kakimbilia Tunduru nchini Tanganyika na kuwataka Wananchi waamue kama ACT iendelee na SUK au ijitoe
Sasa unajiuliza SUK na Tunduru wapi na wapi?
Zanzibar Wana Katiba yao kwanini msimalizane hukohuko
Je, kwa kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyekuwepo 2020 Rais Mwinyi amevunja sheria gani?
Wewe Zitto Kabwe wenzako walikuambia pigania Katiba Mpya hiyo Tume Huru ya Uchaguzi utaikuta humohumo, uwe unaelewa wewe Mkigoma
Alhamisi Ubarikiwe Sana!