Elections 2010 Wanachuo Kufanya kazi za tume ya uchaguzi

Elections 2010 Wanachuo Kufanya kazi za tume ya uchaguzi

Ramos

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2010
Posts
498
Reaction score
130
Zipo taarifa za kuaminika kuwa tume ya uchaguzi mwaka huu haitawatumia tena walimu katika shughuli zake wakati wa uchaguzi mwaka huu. Badala yake tume imewachukua baadhi ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali vikuu na sasa wapo kwenye training sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuifanya hiyo kaz, na baadhi yao ndio waliotumiwa Zanzibar katika kura ya maoni...
 
Ni bora ili walimu wawe free kufanya maamuzi yao kuliko zamani walivyokuwa wamefungwa na NEC bila wao kujijua.
 
Back
Top Bottom