Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Katika hali ya kustaajabisha Leo June 1, 2020 mamia ya wanachuo kutoka vyuo mbalimbali mkoani Dodoma wameonekana wakisotea fedha zao za mkopo "Boom''
Hii imeleta sintofahamu maana Waziri wa Elimu ya Juu Mhe. Ndalichako alinukuliwa siku chache kabla ya vyuo kufunguliwa akisema kwamba mpaka sasa hakuna mwanafunzi anayedai fedha,wanafunzi wote fedha zao zimetumwa vyuoni
Sasa hii ya leo wanafunzi kujazana bodi huenda majina yalisahaulika au Waziri hakuwa na taarifa sahihi.
Hii imeleta sintofahamu maana Waziri wa Elimu ya Juu Mhe. Ndalichako alinukuliwa siku chache kabla ya vyuo kufunguliwa akisema kwamba mpaka sasa hakuna mwanafunzi anayedai fedha,wanafunzi wote fedha zao zimetumwa vyuoni
Sasa hii ya leo wanafunzi kujazana bodi huenda majina yalisahaulika au Waziri hakuwa na taarifa sahihi.