Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
π π π π πwamefuata jela
Kwani kujazana ni tabu sana waache wahakiki pesa, unataka waende Chuo bila uhakika wa paymentKatika hali ya kustaajabisha Leo June 1, 2020 mamia ya wanachuo kutoka vyuo mbalimbali mkoani Dodoma wameonekana wakisotea fedha zao za mkopo "Boom''
Hii imeleta sintofahamu maana Waziri wa Elimu ya Juu Mhe. Ndalichako alinukuliwa siku chache kabla ya vyuo kufunguliwa akisema kwamba mpaka sasa hakuna mwanafunzi anayedai fedha,wanafunzi wote fedha zao zimetumwa vyuoni
Sasa hii ya leo wanafunzi kujazana bodi huenda majina yalisahaulika au Waziri hakuwa na taarifa sahihi.
Picha Tafadhali!Katika hali ya kustaajabisha Leo June 1, 2020 mamia ya wanachuo kutoka vyuo mbalimbali mkoani Dodoma wameonekana wakisotea fedha zao za mkopo "Boom''
Hii imeleta sintofahamu maana Waziri wa Elimu ya Juu Mhe. Ndalichako alinukuliwa siku chache kabla ya vyuo kufunguliwa akisema kwamba mpaka sasa hakuna mwanafunzi anayedai fedha,wanafunzi wote fedha zao zimetumwa vyuoni
Sasa hii ya leo wanafunzi kujazana bodi huenda majina yalisahaulika au Waziri hakuwa na taarifa sahihi.
Ili uone kama social distance imezingatiwaPicha Tafadhali!
Pesa mbona ziliishatumwa chuoni siku nyingi mi nna mjua mtu tena ame disco ila mkopo wake umekuja tena nimemshauri aule
30% ya wagonjwa wa Corona duniani wako Marekani...... Umeona kinachoendelea lakini!!Ili uone kama social distance imezingatiwa
Ova
Kuwa na Shukurani, usikufuru Mungu.Jinsi Heslb wanavyochinja kijimshahara changu, nawaonea huruma hawa wakopaji wapya siku kichinjio kitakapoanza kufanya kazi na kwao.. Watumie juhudi hiyo hiyo kulipa deni!
Sawa.. Asante kwa angalizo!Kuwa na Shukurani, usikufuru Mungu.