Wanadada wanavyowatambulisha wapenzi wao wenyesura mbaya

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*Namna wadada wanavyo watambulisha wapenzi Wao wenye sura mbaya...utasikia*
*USIMUONE HIVYO ANAHELA HUYO*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Morning morning morning
 
hahahahahhaahah, umenikumbusha miaka ya nyuma pale Moshi mjini eti wadada ilikuwa fahari kuwaambia wenzio kuwa "NIMEPATA BWANA ANGU, ANA HELA NI MWIZI WA MAGARI" hahahahahhahah
 
Kwa hiyo ukisikia umetambulishwa hivyo ujue sura yako ni mbaya. hahaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…