Wanadiplomasia wa Hispania, Ufaransa na Italia wafukuzwa Urusi

Wanadiplomasia wa Hispania, Ufaransa na Italia wafukuzwa Urusi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Taifa hilo limesema linawafukuza Wanadiplomasia 34 kutoka Ufaransa, 27 wa Hispania na 24 kutokea Italia. Mataifa hayo matatu ni miongoni mwa Nchi za Ulaya ambazo zimefukuza Wanadiplomasia zaidi ya 300 tangu vita kuanza Ukraine

Mataifa hayo yaliwashutumu Wanadiplomasia wa Urusi kwa kufanya ujasusi, madai ambayo Moscow imekanusha. Uhusiano wa Urusi na Mataifa mbalimbali umeendelea kudorora tangu ilipopeleka Majeshi Nchini Ukraine

=======

Russia said on Wednesday it was expelling a total of 85 embassy staff from France, Spain and Italy in response to similar moves by those countries, highlighting the damage to relations with leading European Union members since it launched its war on Ukraine.

The Foreign Ministry said it was ordering out 34 diplomatic staff from France, 27 from Spain and 24 from Italy.

The three countries are among European nations that have collectively thrown out more than 300 Russians since the Feb. 24 invasion. In many cases, they accused Russian diplomats of spying, which Moscow has denied.

Russia's response has included sending home 45 Polish staff and 40 Germans last month. It has also announced tit-for-tat moves against Finland, Romania, Denmark, Sweden, Norway and Japan, among others.

Italian Prime Minister Mario Draghi called Wednesday's announcement by Moscow a "hostile act" and said diplomatic channels must not be interrupted.

France said it deplored the Russian move as an unjustified response to what it said was its own decision in April to expel "several dozen Russian agents acting on our territory under diplomatic status and working against our security interests".

Spain repudiated the Russian decision as not based on the principle of reciprocity, citing "duly justified security reasons" for the expulsion of the Russian embassy staff from Madrid last month, "which is not the case now", the Foreign Ministry said in a statement.

Italy said its staff had always acted in accordance with the Vienna Convention on diplomatic relations.

"In repeating our firm condemnation of the aggression against Ukraine by the Russian Federation, Italy strongly demands an immediate ceasefire that will end the suffering of civilian populations and guarantee the start of concrete negotiations for a political and sustainable solution to the conflict," the Italian foreign ministry said.

Source: Reuters
 
Nnavyomkubali Mrusi hacheleweshi, hapa sasaivi kama ni mwanamgambo umetoka ktk nchi hizo ngeni yaani Russia wakikutia mikononi ni ngumu kukutoa especially hawa wanadiplomasia kufukuzwa, wafungwa wote wataenda kuijenga tena miji kama DONBASS na Mariupol
 
Nnavyomkubali Mrusi hacheleweshi, hapa sasaivi kama ni mwanamgambo umetoka ktk nchi hizo ngeni yaani Russia wakikutia mikononi ni ngumu kukutoa especially hawa wanadiplomasia kufukuzwa, wafungwa wote wataenda kuijenga tena miji kama DONBASS na Mariupol

Oky Mr. Short trouser
 
Back
Top Bottom