Wanafamilia wamenitoa, naona wameazimia kunitenga

Wanafamilia wamenitoa, naona wameazimia kunitenga

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ndiyo group pekee ambalo wameweka kukaa nami miezi miwili. Wamejitahidi sana ila nadhani wamefikia hatua wameshindwa

Mimi mwenzenu haya magroup ya whatsapp huwa simalizi week moja. Wanani remove. Sijui wana matatizo gani? Admins wote wanafanana akili.

Mjadala ulianza last week kuhusu msiba wa ndugu yetu mmoja ambaye amefariki na wanataka akazikwe Bukoba. Wakati anaumwa hali yake ipo vibaya ila angalau... Nilishauri apelekwe kabisa Bukoba. Wakanijia juu kuwa why apelekwe huko.

Now kafariki imekuja issue ya kuchangishana kila mtu 500,000 kugharamia kukodi bus kubwa luxury na maiti kusafirishwa kwa ndege pamoja na watoto wake 4 na mama yao.

Nliwauliza kuna tija gani ya kulazimisha akazikwe kule? Je aliacha pesa ya gharama hizo? Je akizikwa hapa siku za mwisho hatofufuka? Kwa nini tuingie gharama hizo halafu baada ya hapo familia yake ibaki hoi? Maana watoto wake bado wanasoma.

Basi tuchangishane hizo pesa zikasaidie watoto wa marhamu. Imekuwa nongwa nimeshukiwa na kila mtu. Mimi sijaona wakijibu hoja wanadai tu ni mila n.k nikawauliza basi kwa nini isiwe sasa hata kwenye kuzaa mtu awe anaenda kuzalia huko huko kabisa.

Kifupi mimi haya magroup ya whatsapp nina gundu nayo. Juzi juzi nimegombana na jamaa yangu kani add kwenye group lake. Ila yeye tu admin ndo anaruhusiwa kupost. Sasa eti mimi niwe nasoma tu anachopost. Na yeye amekuwa motivational speaker. Anatuchosha tu na videos zake kila siku anaongea amekunja ndita eti kuonesha anaongea mambo sensitive. Nikajitoa. Kumbe na wengine nao baada yangu wakajitoa kutahamaki wamebak watatu katika watu 80 plus.

Amenijia juu kuwa kwa nini nilianzisha kujitoa na watu wametoka nami. Mambo mengine ni ujinga sana. Mimi ndo maana sidumu kwenye magroup sbabu siwezi kuvumilia upuuzi humo. Wanaona ni muasi. Wanani remove.

Sasa uje uniunge group lako kibwege bwege tu bila idhini yangu nakutolea mbavuni. Na hayo magroup yenu admins hamtaki kupingwa kaeni nayo huko huko.

Sasa hadi ndugu wananiona sifai kwenye magroup. Wakati huku JF watu wanaponywa kwa mchango wangu na madini aghali nayotema.
 
Ndiyo group pekee ambalo wameweka kukaa nami miezi miwili. Wamejitahidi sana ila nadhani wamefikia hatua wameshindwa

Mimi mwenzenu haya magroup ya whatsapp huwa simalizi week moja. Wanani remove. Sijui wana matatizo gani? Admins wote wanafanana akili.

Mjadala ulianza last week kuhusu msiba wa ndugu yetu mmoja ambaye amefariki na wanataka akazikwe Bukoba. Wakati anaumwa hali yake ipo vibaya ila angalau... Nilishauri apelekwe kabisa Bukoba. Wakanijia juu kuwa why apelekwe huko.

Now kafariki imekuja issue ya kuchangishana kila mtu 500,000 kugharamia kukodi bus kubwa luxury na maiti kusafirishwa kwa ndege pamoja na watoto wake 4 na mama yao.

Nliwauliza kuna tija gani ya kulazimisha akazikwe kule? Je aliacha pesa ya gharama hizo? Je akizikwa hapa siku za mwisho hatofufuka? Kwa nini tuingie gharama hizo halafu baada ya hapo familia yake ibaki hoi? Maana watoto wake bado wanasoma.

Basi tuchangishane hizo pesa zikasaidie watoto wa marhamu. Imekuwa nongwa nimeshukiwa na kila mtu. Mimi sijaona wakijibu hoja wanadai tu ni mila n.k nikawauliza basi kwa nini isiwe sasa hata kwenye kuzaa mtu awe anaenda kuzalia huko huko kabisa.

Kifupi mimi haya magroup ya whatsapp nina gundu nayo. Juzi juzi nimegombana na jamaa yangu kani add kwenye group lake. Ila yeye tu admin ndo anaruhusiwa kupost. Sasa eti mimi niwe nasoma tu anachopost. Na yeye amekuwa motivational speaker. Anatuchosha tu na videos zake kila siku anaongea amekunja ndita eti kuonesha anaongea mambo sensitive. Nikajitoa. Kumbe na wengine nao baada yangu wakajitoa kutahamaki wamebak watatu katika watu 80 plus.

Amenijia juu kuwa kwa nini nilianzisha kujitoa na watu wametoka nami. Mambo mengine ni ujinga sana. Mimi ndo maana sidumu kwenye magroup sbabu siwezi kuvumilia upuuzi humo. Wanaona ni muasi. Wanani remove.

Sasa uje uniunge group lako kibwege bwege tu bila idhini yangu nakutolea mbavuni. Na hayo magroup yenu admins hamtaki kupingwa kaeni nayo huko huko.

Sasa hadi ndugu wananiona sifai kwenye magroup. Wakati huku JF watu wanaponywa kwa mchango wangu na madini aghali nayotema.
Inamaana wwe hadi leo hujui kua michango ya kifo au harusi ni Michongo ya watu,Sasa unataka kuwazibia!? Lazima wa ku mind!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Saa zingine ukiona kundi kubwa hasa ndugu au Staff katk mambo ya msing linAjadili ujinga walio uona wao ni sawa wew ukiwa sehemu ndogo ya kundi Hilo kubaliana nao tuu maan mwisho wa siku wew utatengwa na kuonekn ni muasi


Wapnge kidogo ukiona hawakuelewi kubaliana nao Tu
 
Mkuu una point kabisa...umeuliza maswali ya msingi sana..Inatakiwa watu mkubaliane kwanza, na sio kulazimishana. Hata hiyo point uliyosema hiyo pesa badala ya kutumia usafiri, ikawasaidie watoto, ni point kubwa. Huyo alie-ku-add kwenye group la whatsapp kisha uka-jitoa, mwambie asikulaumu. Mbona yeye hakukuuliza kabla ya kuku-add?
 
[emoji2][emoji2]inaonesha hata familia yake kabla haijampelekea hoja flani mwamba basi inaijadili hoja hiyo kwa kina kwanza.
Kweli mzee, huyu jamaa nahisi huwa anajiona mawazo yake ndo yapo sahihi kuliko wote
 
Inamaana wwe hadi leo hujui kua michango ya kifo au harusi ni Michongo ya watu,Sasa unataka kuwazibia!? Lazima wa ku mind!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Ni kweli kabisa
Nyumbani tulifiwa na mzee kuna jamaa
Akajabidhiwa kitabu aandikishe michango
Daftari la page 100 lilirudishwa na page 60[emoji28]
 
Ndiyo group pekee ambalo wameweka kukaa nami miezi miwili. Wamejitahidi sana ila nadhani wamefikia hatua wameshindwa

Mimi mwenzenu haya magroup ya whatsapp huwa simalizi week moja. Wanani remove. Sijui wana matatizo gani? Admins wote wanafanana akili.

Mjadala ulianza last week kuhusu msiba wa ndugu yetu mmoja ambaye amefariki na wanataka akazikwe Bukoba. Wakati anaumwa hali yake ipo vibaya ila angalau... Nilishauri apelekwe kabisa Bukoba. Wakanijia juu kuwa why apelekwe huko.

Now kafariki imekuja issue ya kuchangishana kila mtu 500,000 kugharamia kukodi bus kubwa luxury na maiti kusafirishwa kwa ndege pamoja na watoto wake 4 na mama yao.

Nliwauliza kuna tija gani ya kulazimisha akazikwe kule? Je aliacha pesa ya gharama hizo? Je akizikwa hapa siku za mwisho hatofufuka? Kwa nini tuingie gharama hizo halafu baada ya hapo familia yake ibaki hoi? Maana watoto wake bado wanasoma.

Basi tuchangishane hizo pesa zikasaidie watoto wa marhamu. Imekuwa nongwa nimeshukiwa na kila mtu. Mimi sijaona wakijibu hoja wanadai tu ni mila n.k nikawauliza basi kwa nini isiwe sasa hata kwenye kuzaa mtu awe anaenda kuzalia huko huko kabisa.

Kifupi mimi haya magroup ya whatsapp nina gundu nayo. Juzi juzi nimegombana na jamaa yangu kani add kwenye group lake. Ila yeye tu admin ndo anaruhusiwa kupost. Sasa eti mimi niwe nasoma tu anachopost. Na yeye amekuwa motivational speaker. Anatuchosha tu na videos zake kila siku anaongea amekunja ndita eti kuonesha anaongea mambo sensitive. Nikajitoa. Kumbe na wengine nao baada yangu wakajitoa kutahamaki wamebak watatu katika watu 80 plus.

Amenijia juu kuwa kwa nini nilianzisha kujitoa na watu wametoka nami. Mambo mengine ni ujinga sana. Mimi ndo maana sidumu kwenye magroup sbabu siwezi kuvumilia upuuzi humo. Wanaona ni muasi. Wanani remove.

Sasa uje uniunge group lako kibwege bwege tu bila idhini yangu nakutolea mbavuni. Na hayo magroup yenu admins hamtaki kupingwa kaeni nayo huko huko.

Sasa hadi ndugu wananiona sifai kwenye magroup. Wakati huku JF watu wanaponywa kwa mchango wangu na madini aghali nayotema.
Kuhusu hilo la familia biinafsi naona upo sahihi maana watu wanatakiwa watambue kwamba maisha yamebadilika na watu/koo zimeongezeka sana kiasi kwamba tumesha toka kwenye ujamaa na tupo kwenye ubepari "lakini halisemwi". Tunapaswa tukubali kwamba cycle za ukubwa wa familia zimepungua sana.
Kuhusu hilo group la motivation speaker, mwambie awaunge ndugu zake na familia yake ili wafanikiwe.
 
Mkuu una point kabisa...umeuliza maswali ya msingi sana..Inatakiwa watu mkubaliane kwanza, na sio kulazimishana. Hata hiyo point uliyosema hiyo pesa badala ya kutumia usafiri, ikawasaidie watoto, ni point kubwa. Huyo alie-ku-add kwenye group la whatsapp kisha uka-jitoa, mwambie asikulaumu. Mbona yeye hakukuuliza kabla ya kuku-add

Watu wagumu sana kuelewa
 
Back
Top Bottom