Wanafamilia wamenitoa, naona wameazimia kunitenga

Ni kweli kabisa
Nyumbani tulifiwa na mzee kuna jamaa
Akajabidhiwa kitabu aandikishe michango
Daftari la page 100 lilirudishwa na page 60[emoji28]
Skuizi misiba imekua biashara za watu walio poteza utu
 
Tatizo lako una shobo mdundiko
Acha uchawi we boya
 
Niliunganishwa na magrupu ya pornography sasa wakati nataka kuyafuta ndiyo wife akawa na simu yangu , akayaona majamboz nikaanza kumuomba msamaha kanuna kazira
Daaaah.,... Changamoto sana. Ulionekana kuwa unatafuta mpasuko nje?
 
Daaaah.,... Changamoto sana. Ulionekana kuwa unatafuta mpasuko nje?
Hapana sio mpasuko eti analalamika anasema na uzee huu naangalia picha za uchi basi mimi hoi kwa aibu , full kusema nilifungua link bila kujua nisamehewe japo ni ukweli sikujua
 
Hapana sio mpasuko eti analalamika anasema na uzee huu naangalia picha za uchi basi mimi hoi kwa aibu , full kusema nilifungua link bila kujua nisamehewe japo ni ukweli sikujua
Pole sana maskini....
 
Watanzania hunichosha tu jinsi wanavokuwaga busy kuvhangia musiba na sherehe huku ukiwa na uhitaji hata mtaji au mambo ya maendeleo hawataki. Imagine Kuna watu wana kikundi Cha watu 500 ila huchanga 15000 mtu akifiwa ila ukiuguliwa Kwa kukosa matibabu hawataki, why Sasa uchangie aliyekufa. Tunaendekeza ujinga sana nchi hii
 
Mimi wakiniunga kwenye hizo groups bila mimi kunishirikisha nawapostia matangazo ya biashara yangu. Wananiambia sio kwa ajili ya matangazo wananiremove. Ila biashara nishatangaza..
 
Yaani kama una mgonjwa wanasubiri afe ndo uchangiwe mazishi? Hizi ni roho za kichawi. Ndo maana Africa wachawi ni wengi sana kuliko ulaya.
 
Mimi wakiniunga kwenye hizo groups bila mimi kunishirikisha nawapostia matangazo ya biashara yangu. Wananiambia sio kwa ajili ya matangazo wananiremove. Ila biashara nishatangaza..
Unauza nini? Maana sisi wengine ni wanuuaji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…