Wanafamilia wamenitoa, naona wameazimia kunitenga

Yaani kama una mgonjwa wanasubiri afe ndo uchangiwe mazishi? Hizi ni roho za kichawi. Ndo maana Africa wachawi ni wengi sana kuliko ulaya.
Ndio hivo Kwa hyo case ya ugonjwa dada kauguliwa na mzazi alikuwa anakosa Hadi dawa na drip ila alivofiwa wakamchangia hela nyingi, Yani Hilo group ni kuchangia tu misiba ila sio maendeleo
 
Ndio hivo Kwa hyo case ya ugonjwa dada kauguliwa na mzazi alikuwa anakosa Hadi dawa na drip ila alivofiwa wakamchangia hela nyingi, Yani Hilo group ni kuchangia tu misiba ila sio maendeleo
Waswahili hawapendi mtu apate maendeleo. Wapo hivyo wana roho za kichawi
 
Uwezo wa kuchambua hoja na kuzijibu hoja kwa waTz wengi ni changamoto sana
 
Wanandugu wapeleke kwa Mwamposa wakale maji ya baraka labda watapona
 
Anzisha group lako mkuu na uwe leke yako. Hakuna ku gasiana
 
Pass me some blunt smoke please....
This thread is too tough to read.....

🍁......kush master......🍁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…