Wanafanya nini hawa?!!!

wanawanyima wanaume...wachoyo hao! vyao wanakula peke yao!
 
Ngoja bi shosti aje labda atatuelezea vizuri uzembe wetu.Maana nadhani ni uzembe wa baadhi yetu ndio unasababisha haya yote.
 
Moderator: Nomba niireport hii kama abuse maana picha kama hizi zina mahali pake inabidi nijibu maswali mengi kwa kijana wangu hapa sina uhakika ni maadili sahihi
 
Hiyo rehersal niya muvi ya x au muvi ya aina gani? Sio kila 2nachokiona ktk nchi za magaribi nicha kuinga 2we wapana wa kufikiri hayo co maadili yetu nani ufuska uliopitiliza
 
Moderator: Nomba niireport hii kama abuse maana picha kama hizi zina mahali pake inabidi nijibu maswali mengi kwa kijana wangu hapa sina uhakika ni maadili sahihi

duh! pole...:twitch:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…