Wanafizikia mje mtuelezee hili kuhusu mapenzi

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,436
Natumai hamjambo wakuu.

Wanafizikia mtueleze kwa nini wakati wa tendo la ndoa hasa katika style ya kifo cha mende mwanamke huwa hasikii uzito japo unakuwa umemlalia but ukimaliza tu anausikia uzito na anaweza kukupush ukae pembeni...

Karibuni wanafizikia mtueleze kitaalam tujue ule uzito wa me huwa unaenda wapi maana unaeza kuta me kg 90 anamlalia ke kg45 na wala hakuna shida kabisa wakati wa game.
 
Maumivu yote yanamezwa na raha. Mpe mtoto pipi huku unamkanyaga mguu, pipi kwanza baadae, unaniumizaaaa!!
 
Najaribu kuwaza...

Conscious mind haina uwezo wa ku operation two things at same time...

Afu pia kitu chochote kikishikiliwa au kubebwa ktk center yake (katikati ya hicho kitu) huwa balanced na hupoteza kiasi kikubwa cha uzito ndo Mana kina balance.

Pale Kwenye k ya mwanamke ndo katkat ya mwili wake.

So uzito unakuwa balanced japo conscious mind nayo huusika kwa kiasi kikubwa
 
Najibu ki fizikia...
Mwanzoni uzito wa mwanaume unakua umebebwa zaidi na magoti pamboja na viwiko vya mikono.

Baada ya korasi mwanaume anajiachia sio magoti wala viwiko vinajiweza, anajikuta uzito wote unamwelemea mwanamke.
 
Najibu ki fizikia...
Mwanzoni uzito wa mwanaume unakua umebebwa zaidi na magoti pamboja na viwiko vya mikono.

Baada ya korasi mwanaume anajiachia sio magoti wala viwiko vinajiweza, anajikuta uzito wote unamwelemea mwanamke.
Najibu ki fizikia...
Mwanzoni uzito wa mwanaume unakua umebebwa zaidi na magoti pamboja na viwiko vya mikono.

Baada ya korasi mwanaume anajiachia sio magoti wala viwiko vinajiweza, anajikuta uzito wote unamwelemea mwanamke.
umejaribu mkuu
 
hayo mambo ya moment of inertial, na yale mambo ya law of flotation, ukichanganya na issue za center of mass kwenye mambo ya equilibrium.
 
According to the law of rigid body , weight of man distribution equally to the body of a woman.
So a woman experience weightless.
 
Kwahiyo huwa unamlalia [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Mkitoka kujadili hiyo mje mjadili na ile style "baby panda dirishani fanya kama unaidondokea"..😅😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…