Wanafizikia nisaidieni NECTA FORM 2, 2019 kuna swali lenye majibu ya kipuuzi

Wanafizikia nisaidieni NECTA FORM 2, 2019 kuna swali lenye majibu ya kipuuzi

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Mimi Taaluma yangu ni mhandisi ambaye nilipenda sana somo la fizikia enzi nikiwa shuleni.

Nimejaribu kurejea mambo wanayofundishwa watoto wetu nikashangaa kuna upotoshaji mkubwa.

Mfano:

NECTA FORM 2 ya mwaka 2019 kwenye Section A, swali la 1, (i) ameuliza ifuatavyo

(i). Why Physics, Chemistry and Biology are natural science subjects?
(A). They need practical and theory work for learning.
(B). They need only theory for learning.
(C). They need practical work only.
(D). They need only observation.

katika hizi option A mpaka D hakuna jibu la kwa nini Physics, Chemistry and Biology are natural science subjects.

Unapozungumzia natural science msingi wake ni "natural findings"

Lakini elimu yetu inatengeneza watu kuwaaminisha msingi wa kuwa natural science ni practical, theory work for learning maana marking scheme inasema hilo ndilo jibu

Mfano mzuri ni computer science

Computer Science siyo natural science lakini ina involve practical and theory work for learning. Kama ku-involve practical and theory work ndiyo sababu ya kuwa natural science subject basi hata computer science ingekuwa natural science

Lakini kwa kuwa msingi wa natural science ni ku explore natural findings basi computer science haitafiti natural things inakuwa siyo natural science.

Unapokuwa na maswali yenye majibu ya kipuuzi kama haya unawachanganya watoto wanaojitahidi kusoma na kuelewa na kuwapongeza wajinga wasioelewa ila wamekalili tu. Ukikuta mtu asiyeelewa anaweza kuondoa natural findings na kutengeneza majibu kwa kuondoa facts kama swali hilo lilivyojibiwa.
 
Mimi Taaluma yangu ni mhandisi ambaye nilipenda sana somo la fizikia enzi nikiwa shuleni.

Nimejaribu kurejea mambo wanayofundishwa watoto wetu nikashangaa kuna upotoshaji mkubwa.

Mfano:

NECTA FORM 2 ya mwaka 2019 kwenye Section A, swali la 1, (i) ameuliza ifuatavyo

(i). Why Physics, Chemistry and Biology are natural science subjects?
(A). They need practical and theory work for learning.
(B). They need only theory for learning.
(C). They need practical work only.
(D). They need only observation.

katika hizi option A mpaka D hakuna jibu la kwa nini Physics, Chemistry and Biology are natural science subjects.

Unapozungumzia natural science msingi wake ni "natural findings"

Lakini elimu yetu inatengeneza watu kuwaaminisha msingi wa kuwa natural science ni practical, theory work for learning maana marking scheme inasema hilo ndilo jibu

Mfano mzuri ni computer science

Computer Science siyo natural science lakini ina involve practical and theory work for learning. Kama ku-involve practical and theory work ndiyo sababu ya kuwa natural science subject basi hata computer science ingekuwa natural science

Lakini kwa kuwa msingi wa natural science ni ku explore natural findings basi computer science haitafiti natural things inakuwa siyo natural science.

Unapokuwa na maswali yenye majibu ya kipuuzi kama haya unawachanganya watoto wanaojitahidi kusoma na kuelewa na kuwapongeza wajinga wasioelewa ila wamekalili tu. Ukikuta mtu asiyeelewa anaweza kuondoa natural findings na kutengeneza majibu kwa kuondoa facts kama swali hilo lilivyojibiwa.


Samahani mkuu, umeleta swali hili ili upate maoni yetu au kutufundisha; What natural science is !!, au kutuonyesha mapungufu kuhusu mitihani ya kizazi cha dot com??
 
Samahani mkuu, umeleta swali hili ili upate maoni yetu au kutufundisha; What natural science is !!, au kutuonyesha mapungufu kuhusu mitihani ya kizazi cha dot com??
Naomba uni-tag akikujibu tafadhali!

Nami pia nimepata mkanganyiko!
 
Kwa level yao jibu liko sawa, usijilinganishe nao.
Hakuna kitu kama hicho

misingi ijengwe kwa kuwaeleza watoto vitu sahihi.

ninachokiona kuna watu hawaelewi wanachokifanya na ndiyo hao wanatunga maswali na majibu na katika kujaribu kufupisha wanaondoa misingi na kuondoa maana ya hoja halisi.

huu ni mfano
Kwa level yao jibu liko sawa, usijilinganishe n
 
Samahani mkuu, umeleta swali hili ili upate maoni yetu au kutufundisha; What natural science is !!, au kutuonyesha mapungufu kuhusu mitihani ya kizazi cha dot com??
Mkuu yote uliyoyataja ni majibu
 
Darasa la kwanza mpaka la tano; 3 - 7 = haiwezekani.

Kila kitu na level yake.
Kila somo na kanuni zake alafu kumbuka nyumba ni msingi ukiharibu msingi huwezi kuja kuwa na nyumba imara.

Swali la msingi la kwa nini biology, physics na chemistry ni social science subjects halina cha level bali lina facts

tukubali kwamba ukweli umepindishwa na anayejibu huo uongo ndiye marking scheme inampa kapata.

hiyo ndiyo elimu ya kujibu mitihani
 
Most ya hayo maswali waliyoulizwa kwa level yao wanataka kujibu ambayo ni most accurate answer kati ya options walizozitoa.

So inawezekana kukawa na majibu sahihi nje ya hizo options but itakuwa beyond their level,

Binafsi nnaona ipo sahihi kwa level yao!
 
Most ya hayo maswali waliyoulizwa kwa level yao wanataka kujibu ambayo ni most accurate answer kati ya options walizozitoa.

So inawezekana kukawa na majibu sahihi nje ya hizo options but itakuwa beyond their level,

Binafsi nnaona ipo sahihi kwa level yao!


Hakuna cha level katika swali hilo bali ni upotoshaji juu ya ukweli halisi na hilo ni jambo baya.
 
Waache walimu wafanye kazi yao, wamesomea namna ya kumfanya mwanafunzi kufika maarifa uyatakayo hatua kwa hatua, from simple to complex, from known to unknown.

Kuna level wataifikia watayajua hata zaidi ya hayo unayoyaita ni majibu sahihi.

Hatua kwa hatua mkuu.

SUKAH
 
Mimi Taaluma yangu ni mhandisi ambaye nilipenda sana somo la fizikia enzi nikiwa shuleni.

Nimejaribu kurejea mambo wanayofundishwa watoto wetu nikashangaa kuna upotoshaji mkubwa.

Mfano:

NECTA FORM 2 ya mwaka 2019 kwenye Section A, swali la 1, (i) ameuliza ifuatavyo

(i). Why Physics, Chemistry and Biology are natural science subjects?
(A). They need practical and theory work for learning.
(B). They need only theory for learning.
(C). They need practical work only.
(D). They need only observation.

katika hizi option A mpaka D hakuna jibu la kwa nini Physics, Chemistry and Biology are natural science subjects.

Unapozungumzia natural science msingi wake ni "natural findings"

Lakini elimu yetu inatengeneza watu kuwaaminisha msingi wa kuwa natural science ni practical, theory work for learning maana marking scheme inasema hilo ndilo jibu

Mfano mzuri ni computer science

Computer Science siyo natural science lakini ina involve practical and theory work for learning. Kama ku-involve practical and theory work ndiyo sababu ya kuwa natural science subject basi hata computer science ingekuwa natural science

Lakini kwa kuwa msingi wa natural science ni ku explore natural findings basi computer science haitafiti natural things inakuwa siyo natural science.

Unapokuwa na maswali yenye majibu ya kipuuzi kama haya unawachanganya watoto wanaojitahidi kusoma na kuelewa na kuwapongeza wajinga wasioelewa ila wamekalili tu. Ukikuta mtu asiyeelewa anaweza kuondoa natural findings na kutengeneza majibu kwa kuondoa facts kama swali hilo lilivyojibiwa.
wejamaa yaani hujui majibu huendana na level uliyopo?
 
Back
Top Bottom