Kwa hiyo chuo kinakubali makosa ya/udhaifu wa kudahili wanafunzi wasio na sifa ? Makosa hayo yametokea bahati mbaya au yalikuwepo katika miaka ya nyuma pia ?
Hiyo inawezekana
Kwa hiyo chuo kinakubali makosa ya/udhaifu wa kudahili wanafunzi wasio na sifa ? Makosa hayo yametokea bahati mbaya au yalikuwepo katika miaka ya nyuma pia ?
inaweza kuwa njia ya kuongeza income
taratibu zao za kutoa 'result slips' zina mushkeli pia. hii inawezafanya mhitimu aliyepata alama c, b+, c, c, b, c kwa mfano aandikiwe kapata b, b+, b, b, a, b katika mfuatano huo.
cheti kitaonekana kinapendeza tofaut na ilivyostahili. hii inamaana kuwa kumbukumbu za matokeo ya mitihani zinaweza kuchezewa