Wanafunzi 45 watimuliwa Umbwe Sekondari

Lyamungo

Member
Joined
Aug 17, 2011
Posts
91
Reaction score
7
Wanafunzi 45 wametimuliwa shuleni hapo kwa makosa ya kusababisha vurugu na walipokaguliwa walikutwa na silaha kama visu na bisibisi kwenye masanduku yao
 
Wanafunzi 45 wametimuliwa shuleni hapo kwa makosa ya kusababisha vurugu na walipokaguliwa walikutwa na silaha kama visu na bisibisi kwenye masanduku yao
Duh!
My former school bana, what happened?
 
Kama kawaida yao, ila nilidhani siku hizi watakuwa wamepunguza bhange kumbe wapi! Msalimie Protii
 
Mti Safi kulikoni tena?,.....anyway_i miss katizi plus fongo.
 
Ijumaa moja hivi....Mwaka 1999 tulipangwa mstari pale basketball court (assembly) na Second Master Mr. Victor....saa 6 usiku akawa anatunusa midomo mmoja mmoja kama tumekunywa pombe...yeye mwenyewe alikuwa "chicha" kinoma...sijui kama wadau wa mti safi mnaikumbuka hii.
 


ahahahahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Dah! Hv machz wangu wakina najim salehe, issa mohamed, amani bitomwa, said msimba, ndesamburo, watakosa kweli humo kwenye hillo tifu kwani hata kipindi tupo umoja sec- igunga walikuwa watata sana.
 
ila naamin kwa form six hawakuhusika mana bado kama wiki mbili kabla ya necta! Nahisi walikuwa bizy na final touch!
 
jamaani lini tutarudi mtisafi,umbwe bila maandamano na vurugu haliendi vip makange alishaama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…