Mwanangu acha hiyo tabia haraka kesho nenda shule na usichezee masomo kabisa!Daah me hapa nadoji week 2..nikienda shule ntafanya kama kawaida yangu.. naingia skuli nachechemea naonekna kama nimeumia mguu!.... [emoji51]
😀 nimeskia baba...Mwanangu acha hiyo tabia haraka kesho nenda shule na usichezee masomo kabisa!
Tazama mimi babako natafuta pesa kwa shida nakesha usiku kucha nalinda nyumbani kwa muhindi huku wenyewe wamelala ndani wanat.ombana mpaka wakati mwingine naishia kuwapiga chabo na uzee wangu huu.!
Soma kwa bidii acha mchezo usije ukaishia maisha kama ya mimi babako!
Kwanza hiyo week utakayokaa nyumbani utafanya nini cha maana zaidi ya kupiga nyeto tu.!
Pu.mbav nenda shule.
umetisha mzeebaba 😬😬Mm naingiaga kama naumwa kifaduro vile!!😂😂😂😂