maji 1000
chai 1000
mchana 2000
usiku 2000
hapo ndio mtu kajibana kuliko maelezo, lakini akinywa chupa mbili za maji na kula vizuri kidogo ngoma inadon doka kwenye 15000
waandishi wahabari fanyeni kazi ya habari na sio siasa,ephrem kibonde anafanya kazi ya ukada wa ccm ndani ya media tena anatukana watu wakidai haki zao kwa manufaa ya nchi sio ccm,nina wasi na elimu yake hajui kabisa maadili ya kazi yake,kumbe antivirus imeeleza ukweliiiiii...jichunge bro ni hayo tu.ongeza mawasiliano(vocher) 2000/=,nauli kwenda na kurud mabibo 500/= pango 500/=
maji 1000
chai 1000
mchana 2000
usiku 2000
hapo ndio mtu kajibana kuliko maelezo, lakini akinywa chupa mbili za maji na kula vizuri kidogo ngoma inadon doka kwenye 15000