Mchelea mwana kulia,....mie nimesoma primary tulikuwa tunagongwa sijaona,tena kama tunasema watoto wa leo wanachapwa,siyo kweli,ina maana mmesahau kushika kucha,mmesahau kupigwa mzunguko na staff nzima?mmesahau au hamjawahi hata kusimuliwa?sasa sema umeona wapi leo watoto wanashika kucha?
Navyojua mie ni kwamba walimu wanasoma psycology humo wanasoma module ya punishment,nadhani wanazielewa zaidi yetu,tusiondoe punishment kwa kisingizio cha kuwepo kwa minor indiscplnary cases,hzi cases zishughurikiwe lakini adhabu ziendelee kuwepo,kasome behavioural psycologists (Puvlov,Bruner,Ausbel n.k)
nachokiona hapa wanasheria wanaingilia fani kwa kumanipulate,hvi nyinyi wanasheria mnaelewa nini kuhusu child dvlopment?behaviours?mnaelewa nini juu ya Montessori in education pedagogy?mnaelewa ama tuwasaidie kuwajuza?be free