Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Leo jioni kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku katika ITV wameonekana wanafunzi wa Mlimani wakiaandamana kudai katiba mpya, kupongeza hatua ya Bunge lao kuung'oa uongozi wa DARUSO na kusisitiza katiba mpya ni lazima itokane na raia wenyewe na wala siyo kukidhi mahitaji ya viongozi tu kupita Tume ya Raisi ambayo JK kaahidi kuiteua....................