tatizo ninaloliona kwa serikali ya kikwete ni kuwa imepanua mahitaji ya hela kuliko inavyoingiza. wanafunzi waliopo mashuleni/vyuoni ni zaidi ya mara 1000 ya waliokuwa kabla yake. mashule yaliyojengwa katika kipindi chake ni zaidi ya 1000%, bado mazahanati/vituo vya afya na kadhalika. hivi vitu vyote atavi-RUN vipi kwa ungezeko la 50% ya kipato cha awali kabla hajawa madarakani? Si kwamba na ponda kuwa haya anayofanya ni mabaya. NO. ila uwezo wa kuyahudumia yote kwa pamoja.
Mathalani, kikwete amejenga/anajenga barabara za km zaidi ya 6000 za lami. hizi ni zaidi ya barabara zote zilizojengwa kwa pamoja na nyerere, mwinyi na mkapa. how came all of these being done within this short time? Crazy.