Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizazi cha facebook, wazazi tunalipaada,na hatuwapi hasa mabintilsimu,wanazitumia kwa kificho,utashangaa unaona commnts za mwanao facebook,jamani pesa zangu,mwanangu anapotea,na sie wazazi tunawapacimu under18,je sheria ipitishwe kua halali
Matumizi ya simu yana weza athiri na vilevile yasi athiri ufaulu wa mtu,
mimi nimekua nikimiliki simu tangu F2 na ufaulu wangu ni mzuri wa kuridhisha, tena nilipokua High school(private) nilikua na simu na nilikua nikiitumia daily(sio kwa upande wa mapenzi lahasha ni kwaajili ya taarifa za kiteknolojia,studies na kuchezagames) na mwisho wa siku nikafaulu kwa kiwango cha kushangaza wanafunzi wenzangu,nataka kusema kua upangiliaji wa muda na matumizi ya simu ni muhimu sana, Japokua ni vigumu kwa vijana wetu wa sasa, pia mapenzi ndio yana haribu kila kitu, nacho weza kusema wazazi kuna kazi ya ziada kuhiniza na kuelekeza vijana matumizi muhimu ya simu katika kipindi husika. ni hayo tu