Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAWA wote wawili nimewaacha bongo wakiwa wateja,mpesly sijui kwa sasa yuko wapi,lakini pius yuko mitaa ya kinondoni
Olimpyo yenyewe imeanzishwa juzi juzi miaka y 90 ....sa cjui hiyo olimpyo y 76 ni ipi? ....kwani we upo hai au umekufa?
HAWA wote wawili nimewaacha bongo wakiwa wateja,mpesly sijui kwa sasa yuko wapi,lakini pius yuko mitaa ya kinondoni
duuuh!!!!!!!!Au hiyo avatar ime blow cover yangu-yaani umepiga ndipo-hapo st JOSEPH kwa saaaaaana,huyo faridi nawajua kama watatu,labda ujaze details zaidiSon of Alaska mbona nnakukumbuka. Nilikuwa nikikuona pale myuma ya St Joseph - nyuma ya library. Unamkumbuka Faridi? yuko wapi