Wanafunzi udom tunakufa tunaisha kwa njaa.

Wanafunzi udom tunakufa tunaisha kwa njaa.

REAL ACTIVIST

Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
39
Reaction score
5
Wanafunzi wa UDOM tuliorejeshwa chuoni kuendelea na masomo baada ya kusimamishwa kwa muda wa mwaka mmoja tunakufa kwa njaa kwani hatujapewa pesa za kujikimu mpaka sasa,board ya mikopo wanatuambia waliishakipatia chuo pesa za wanafunzi wote,kulikoni chuo?
 
Achaneni na siasa watoto tulieni msome!

Walipokuwa wana mchangia Kikwete pesa ya kuchukua form ya kugombea kiti cha URAIS wa JMT wewe hukuona SIASA.

Leo wanadai pesa yao ya kujikimu unasema SIASA. Lakini na nyinyi wanafunzi wa UDOM hili liwe somo kwenu.
 
Naomba nichangie dio kwamba naponda au natetea mtu ila nfo ukweli.

Hapo nyuma bodi ya mikopo ilikuwa inatumia bank ya CRDB kuprocess mikopo na akaunti zake kubwa zilikuwa huko.

Shida siasa na utawala vimeingia kwa pamoja na jwa sasa bodi ya mikopo wanatumia bank ya Mkapa inayojulikana kama Bank M kuprocess mikopo.

Inaamaana kuwa cheque ikitoka bodi kwenda bank M then itoke huko iende bank nyingine ni kamlolongo kasiko kuwa na maana na kwa bank M ni ndogo kuwa na liquidity kutosheleza mahitaji ya wanafunzi. Siasa ikiondoka wanafunzi hakuna njaa
 
Kilichowafanya msimamishwe masomo ni movement za kisiasa ambazo mlikuwa mnachochewa na WAHUNI CDM wakiwaahidi M4C tulieni mtapata fedha chama kilichopo madarakani ni makini na kisivu ndo maana kimewarudisha baada ya FILTRATION hamtakufa njaa.Siku nyingine tafuteni haki zenu bila POLITICAL PRESSURE.
 
vunjeni kwanza ule mnara wa ccm pale getini
 
Kuna watu hapo juu wamecoment cjui wakiwa wameweka wapi vichwa vyao?
Wanafunzi waliosimamishwa kipindi kile hawakuwa wamegoma au kudai haki zao kwa presure za kisiasa...mawazo juu ya future yaliwapush as huwezi kumwita m2 ni graduate hali hajawai kwenda field hata moja, ataenda kufanya nini kazini sasa?
Ukiwa nje ya UDOM unaweza kujudge mambo upendavyo so tuacheni tuliovaa hvo viatu cuz tunajua wapi vinatuumiza.
Migomo yote iliyotokea udom imeleta mafanikio au mabadiliko kwa kiwango fulani na tunajua yataendelea kurekebishika kidogo kidogo.
Mwisho napenda kuwatia moyo ninyi ndugu mliorudishwa kujikusanya, mumteue kiongozi atakaeenda mahali husika akaulizie, msiogope as long as mnachoenda kuuliza ni haki yenu. Binadam huwa wanajisahau, wanatumia matatizo ya wengne kujinufaisha so mkinyamaza mtaona mmemaliza semester mkiwa wafu! Ndugu Real Activist put ur name in action mpate bumu!
 
2hery

Today 17:24
#9 Member Array


Join Date : 27th May 2011
Posts : 93
Rep Power : 399
Likes Received11
Likes Given14


[h=2]
icon1.png
Re: Wanafunzi udom tunakufa tunaisha kwa njaa.[/h]
vunjeni kwanza ule mnara wa ccm pale getini​

Unawapotosha mkuu, kilichowafanya warudishwe nyumbani ni INFLUENTIAL PHRASE kama hizi! wafuatilia kwa DVC-PFA watapata mrejesho sahihi.Jua kuwa walishajaza Affiavity za kutojihusisha na migomo.
 
Kilichowafanya msimamishwe masomo ni movement za kisiasa ambazo mlikuwa mnachochewa na WAHUNI CDM wakiwaahidi M4C tulieni mtapata fedha chama kilichopo madarakani ni makini na kisivu ndo maana kimewarudisha baada ya FILTRATION hamtakufa njaa.Siku nyingine tafuteni haki zenu bila POLITICAL PRESSURE.

mtu wa chuo kikuu haongozwi kwa pressure bali utashi
 
Kuna watu hapo juu wamecoment cjui wakiwa wameweka wapi vichwa vyao?
Wanafunzi waliosimamishwa kipindi kile hawakuwa wamegoma au kudai haki zao kwa presure za kisiasa...mawazo juu ya future yaliwapush as huwezi kumwita m2 ni graduate hali hajawai kwenda field hata moja, ataenda kufanya nini kazini sasa?
Ukiwa nje ya UDOM unaweza kujudge mambo upendavyo so tuacheni tuliovaa hvo viatu cuz tunajua wapi vinatuumiza.
Migomo yote iliyotokea udom imeleta mafanikio au mabadiliko kwa kiwango fulani na tunajua yataendelea kurekebishika kidogo kidogo.
Mwisho napenda kuwatia moyo ninyi ndugu mliorudishwa kujikusanya, mumteue kiongozi atakaeenda mahali husika akaulizie, msiogope as long as mnachoenda kuuliza ni haki yenu. Binadam huwa wanajisahau, wanatumia matatizo ya wengne kujinufaisha so mkinyamaza mtaona mmemaliza semester mkiwa wafu! Ndugu Real Activist put ur name in action mpate bumu!

we ndo msomi unayejitambua! Kudos
 
Kilichowafanya msimamishwe masomo ni movement za kisiasa ambazo mlikuwa mnachochewa na WAHUNI CDM wakiwaahidi M4C tulieni mtapata fedha chama kilichopo madarakani ni makini na kisivu ndo maana kimewarudisha baada ya FILTRATION hamtakufa njaa.Siku nyingine tafuteni haki zenu bila POLITICAL PRESSURE.
kichwa cha panzi!
 
Wanafunzi wa UDOM tuliorejeshwa chuoni kuendelea na masomo baada ya kusimamishwa kwa muda wa mwaka mmoja tunakufa kwa njaa kwani hatujapewa pesa za kujikimu mpaka sasa,board ya mikopo wanatuambia waliishakipatia chuo pesa za wanafunzi wote,kulikoni chuo?
mnakufa mnaisha?hoja yako ni yamsingi lakini kichwa cha habari umekiwekea chumvi mno.any way bodi nilazima ijitahidi kuhakikisha inawanusuru.
 
dah udom tena?? whats wrong with udom!!!?? mh mi napita tu....
 
Kwa hiyo zile taarifa kua kwa Tshs 500/= naweza pata Binti hapo nikajivinjari nae ni za kweli!?

Maana kama mna njaa ya kiasi hicho, lolote laweza kutokea kunusuru hizo njaa.
 
Najua kwa kutokana na maswahibu waliyo wasababishia wanajiamin kabisa kuwa hakuna atakae jitokeza tena kuwawajibisha. Muhimu ni kuwa mtu wa kweli na kulenga uwajibikaj kuliko unafuu. 'Bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuish ukiwa umepiga magoti' katu msinyamaze!
 
Back
Top Bottom