Wanafunzi UDSM kutumika kwenye maadanamano haramu?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
10,827
Reaction score
4,176
kama kawa. wamemaliza mitihani. wamefulia. hawana bumu. sasa wanawindwa. wapewe pesa kidg. watumike kwenye maadamanaio haram. wengi wao wamekwama hawana naul wapo tu kwenye magorofa ya chuo.
 
mkuu nipe dokezo la mabango watakayobeba...like 'sisi ni ccm daima' or " dowans iwashwe" or " kikwete rais bora TZ" or" bajaji kwa wajawazito -asante jk kwa kutimiza ahadi"
endelezeni........................... Jamaa wapo hata hapa JF watafanyia kazi mabango yao
 
Who cares? Whatever iko siku bongo itakombolewa tu!
 
Sofia Simba aliwataka wanawake wasishiriki kwenye maandamano ya chadema maana wana kazi nyingi, vipi ya ccm wanawake watashiriki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…