DOKEZO Wanafunzi wa Dodoma Media College wanazuiwa kufanya mitihani mwasababu ya kutokulipa ada ya mahafali

DOKEZO Wanafunzi wa Dodoma Media College wanazuiwa kufanya mitihani mwasababu ya kutokulipa ada ya mahafali

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Jun 13, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Wadau mwenye uelewa wa sheria za nactvet. Hivi ni lazima kwa wanafunzi wa certificate na diploma kulipa ada ya mahafali ndio wafanye mitihani.

Baadhi ya wanafunzi wamezuiliwa kufanya mitihani yao licha ya kulipa ada na ada ya mitihani huku chuo kikisema sheria ya shule lazima ulipe ada ya mahafali ndio ufanye mtihani.

Hii imekaaje, mbona kama haki ya wanafunzi inapuuzwa, inawezekanaje kugharimikia mahafali kabla ya mtihani na kufaulu?
 
Wadau mwenye uelewa wa sheria za nactvet. Hivi ni lazima kwa wanafunzi wa certificate na diploma kulipa ada ya mahafali ndio wafanye mitihani.

Baadhi ya wanafunzi wamezuiliwa kufanya mitihani yao licha ya kulipa ada na ada ya mitihani huku chuo kikisema sheria ya shule lazima ulipe ada ya mahafali ndio ufanye mtihani.

Hii imekaaje, mbona kama haki ya wanafunzi inapuuzwa, inawezekanaje kugharimikia mahafali kabla ya mtihani na kufaulu?
Huo ni utapeli. Mahafali siyo lazima mtu afanye
Kabla ya mtu kujiunga na chuo chochote lazima aijue vizuri kwasababu wengine huanzisha vyuo kwa lengo kutapeli
 
Back
Top Bottom