Nimeipata kutoka kwa mwanafunz anayetarajia kujiunga na kidato cha tano kuwa wanapigiwa simu kutoka shule walikopangwa na kuwataarifu waanze kuripoti shule kuanzia tarehe 22/07 na siotarehe 29 wanatumia namba walizoandika kwenye SEL FORM
je taarifa hizi zina ukweli ndani yake?
je taarifa hizi zina ukweli ndani yake?