mwananchi wa pemba
Senior Member
- Apr 2, 2013
- 129
- 80
Kama wote tunavyojua kwamba matokeo kwa miaka ya karibuni yamekua mabaya sana na kila mtu anataka kujua chanzo lakini nina WAHAKIKISHIA MATOKEO YATA ZIDI KUA MABAAYA ZAIDI kwasababu.
1] Serikali inajaribu kutafta njia ya kujisafisha machoni mwa watu lakin sio kulisafisha tatizo lililopo (kwa kuunda tume TUME wakati kila mtu anajua tatizo).
2]watu wanao enda kusomea ualimu ni watu walio shindwa katika elimu ( sasa watu walio feli wanaenda mfundisha mtu jinsi ya kufaulu).
3]walimu hawana mioyo ya kufundisha kwasababu ya mishahara midogo na maisha yanazidi kua magumu.
4]Siasa katika elimu;hapa ni serikali kujenga shule nyingi za kata wakati hawana ifadhi ya walimu so shule za kata ni makutanio ya watoto kupoteza mda ili miaka iende.
5]kupandisha alama za kufauru,,grades,,ndio tatizo kubwa.kama watoto iyo F YA 21 walishindwa vuka je ya 30 wataweza?
6]Utandawazi unao haribu watoto na kufanya nidhamu ishuke mashuleni..mtoto mdogo anachora madudu au ana andika matusi alaf hachukuliwi hatuwa.
1] Serikali inajaribu kutafta njia ya kujisafisha machoni mwa watu lakin sio kulisafisha tatizo lililopo (kwa kuunda tume TUME wakati kila mtu anajua tatizo).
2]watu wanao enda kusomea ualimu ni watu walio shindwa katika elimu ( sasa watu walio feli wanaenda mfundisha mtu jinsi ya kufaulu).
3]walimu hawana mioyo ya kufundisha kwasababu ya mishahara midogo na maisha yanazidi kua magumu.
4]Siasa katika elimu;hapa ni serikali kujenga shule nyingi za kata wakati hawana ifadhi ya walimu so shule za kata ni makutanio ya watoto kupoteza mda ili miaka iende.
5]kupandisha alama za kufauru,,grades,,ndio tatizo kubwa.kama watoto iyo F YA 21 walishindwa vuka je ya 30 wataweza?
6]Utandawazi unao haribu watoto na kufanya nidhamu ishuke mashuleni..mtoto mdogo anachora madudu au ana andika matusi alaf hachukuliwi hatuwa.