Wanafunzi wa Kidato cha Pili wajiua na kuacha ujumbe wa kuwalaumu Wazazi

Wanafunzi wa Kidato cha Pili wajiua na kuacha ujumbe wa kuwalaumu Wazazi

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
NYERI, KENYA: MWANAFUNZI AJIUA NA KUACHA UJUMBE WA LAWAMA KWA BABA YAKE
-
Joan Mumbi alikutwa amejinyonga kwa kutumia shuka ndani ya Bweni la Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Askofu Gatimu Ngandu
-
Binti huyo mwenye umri wa miaka 19 Mama wa Mtoto mmoja alikuwa akisoma kidato cha pili katika shule hiyo
-
Joan ameacha ujumbe unaoeleza kuwa shinikizo la Baba yake kutaka afanye vyema kwenye masomo huku yeye akiomba kuhamishwa shule ni moja ya sababu
-
Sababu nyingine ni kutengana kwa wazazi wake pia ametaja kama kichocheo cha yeye kujiua

======


Form 2 student at Bishop Gatimu Ngandu Girls High School in Nyeri County committed suicide on Sunday morning.

Confirming the incident, Mathira West Deputy County Commissioner Charles Monari said the body of the 19-year-old girl, Joan Mumbi, was found hanging in the dormitory with a bed sheet tied around her neck.

According to the deputy county commissioner, the girl, who was a mother of one, left behind a suicide note alleging that she took her life due to pressure from her father to perform better in her studies.

In the suicide note found inside her desk in class, the girl also included her parent’s separation as a factor behind her decision to commit suicide, adding that she had also requested to be transferred to another school.

The deceased was staying with her father while her child, whom she conceived while in Class Six, was living with her mother.

Also Read:

Woman poisons 3 children, commits suicide in Kericho
Suicidal thoughts, attempts sending more U.S. kids to emergency rooms
Form 2 student commits suicide after failing to pay for stolen bicycle
She is said to have committed suicide while the rest of the students were attending morning preps and Sunday Service.

The girl’s body was taken to Karatina Hospital mortuary as investigations into the incident continue.
 
Back
Top Bottom