kanisa livunjwe kwani limejengwa na serikali?mtazamo wa tukose wote simply because wewe hauna ni mtazamo finyu sana.wajaribu kuomba eneo kama litakuwepo wajenge wenyewe lakini kwa serikali kuwajengea NO!,kumbe ndiyo maana walitaka mahakama ya kadhi iendeshe kwa fedha za serikali wanapenda mambo ya dezo dezo,au kama uwezo wao unaishia kununua spika wafanye mpango na mtoto wa gadafi awajengee kabla hajafanyiwa kitu mbaya!
Kama hamtakazana kusoma elimu dunia msahau kabisa, mfume kristo utabaki milele, hauwezi kuutoa huu mfumo kwa kupoteza muda kuandamana, pigeni shule mambo yenu yatanyoka, wakristo karibu wanajaza nchi kwa kujenga vyuo vikuu na taasisi nyingine nyeti, nyie mnapigania nyumba za kuabudu mashuleni ambako madawati na vitabu ni adimu, aggggh mi napata degedege sasa.
unakosea, ili kubalance, shule irudishwe kwa wenye kanisa lao. Thats balance. Kama waislam wakijengewa msikiti, je walutheri? Je wapentekoste?
Tatizo la vijana wa siku hizi ni kutojua sababu iliyowapeleka shule. Hawajui kuwa wamekwenda kule kusoma. Pili udiniunaingia kwa kasi nchini inabidi hali hii idhibitiwe.