Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

Hapa ni busara na uhalisia tu na sio sheria na kanuni peke yake.
Determination using the prevailing social circumstances kwani nayo huwa ni sheria tosha!
 
tatizo wengine hawajui kuwa maisha ya shule ni muda, beba imani yako, piga shule, tembea zako na imani yako.
 
Hawa jamaa ni wanafki xana,enzi nipo chuo nilikuwa na bf msabato,eti akitoka chachi anataka tushinde hostel tunangonoka,nikaona jamaa anataka kunifuja nikawa namkatalia ngono,kilichofuata alivunja uhusiano,ila nilikuwa namshangaa xana inakuwaje mtu atoke chachi afu akashindie k?
 
hakuna official study imefanyika kujua idadi ya watz kwa kufuata itikadi

acha kupotosha....
wakatoliki kutokana na sensa yetu tuliyofanya wenyewe bila Khassim za serikali ituhesabu tupo jumla ya waumini milioni 12 Tanzania nzma.
 
Ifikie wakati wanafunzi wa kizazi hiki waache ujinga,wakati wanafunzi wa Yesu walipokuwa wanavunja masuke na kula siku ya sabato mafarisayo walipolamika walijibiwa nini?Binafsi tulipokuwa chuo tulikuwa tukifanya mitihani siku yoyote,iwe Ijumaa,Jmos na hata Jpili!Tukiruhusu watu wajipangie siku za kufanya mitihani basi watakuja wabudha watasema Alhmis ndo siku yao ya kuabudu,wapagani nao watasema Jtano na Jnne ndo siku zao,wahindu nao wakisema Jtatu ndo siku yao ya kuabudu,hakutakuwa na shule tena hapo!Naunga mkono kufukuzwa,liwe fundisho kwa wote wanaotaka kuleta chokochoko za kidini kwenye taaluma!!
 
Dini ya sabato ina mambo mengi ya ajabu. Mbona Waislam wanafanya kazi siku ya ijumaa?
Hawa jamaa ni wa ajabu sana nimeishi nao nimesoma nao nawajua vilivyo,ni haki yao kufukuzwa kwani hawakuviona vyuo vya kisabato hata wakaenda MORAVIANI??Yaani ni kichekesho na hii ni akili ya kawaida tu unaenda kwa mtu anaekula kambale halafu unategemea akuandalie dagaa??Hawa ni watu wa kukariri maandiko na hawana ubavu wa kuyaishi,wanajua sana kujieleza lakini ukiishi nao utajua hawa hawana lolote jipya,nenda kwenye makongamano yao ya vijana ndio utaona vituko uzinzi unaofanyika huko sodoma na gomola ni afadhari.Hellen White amewadanganya mambo mengi sana ebu jiulize sabato ile iliyoadhimishwa na MUISRAEL ndio hii ya hawa hawa jamaa zetu tunaoishi nao kitaa??????waambieni waache utani na ubishi wa maandiko blabla nyingi uonekane unajua kumbe hamna lolote wengi wamechangia hapa KRISTO YESU NDIE BWANA WA SABATO,huwezi kufanya mtihani siku ya sabato chagua chuo cha kisabato vinginevyo wewe ni mjinga tu na elimu yako ya kidunia na kidini haijakukomboa.
 
hapa ni busara na uhalisia tu na sio sheria na kanuni peke yake.
Determination using the prevailing social circumstances kwani nayo huwa ni sheria tosha!
nakubaliana na wewe kabisa
 
KWANI WAMORABVIANI HAWAKUJUA KWAMBA KUTAKUA NA WASABATO? AMA BADU KWA NINI WASISAJILI WAMORAVIAN PEKEE
Hawa jamaa ni wa ajabu sana nimeishi nao nimesoma nao nawajua vilivyo,ni haki yao kufukuzwa kwani hawakuviona vyuo vya kisabato hata wakaenda MORAVIANI??
 
acha kupotosha....
wakatoliki kutokana na sensa yetu tuliyofanya wenyewe bila Khassim za serikali ituhesabu tupo jumla ya waumini milioni 12 Tanzania nzma.
hiyo ni study ya Wakatoliki si ya Watz, halafu elewa maana ya official study kama hujui kaa kimya wapishe GT sio alimradi uonekane unachangia
 
Wanayepaswa kumfuata alisema, "..ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu, mpeni Mungu"

Hawa jamaa wanalazimisha ya Mungu wampe Kaisari na vice versa!!

Kimsingi binafsi naona ni mwanafunzi ambaye hajajiandaa tu ndio anayeweza kugomea mtihani kwa sababu ya aina hii!

Nguvu mtu anayotumia kujiandaa na mtihani ni kubwa sana kiasi kwamba sababu za kipuuzi hazina nafasi kuahirisha mtihani!
 
sabato ni siku ya kwanza ya juma, na wala sio jumamosi, someni maandiko

Hujui kitu wewe kaa kimya ,maandiko yanasema Yesu alitesa msalabani siku ya maandalio ya sabato .jiulize ni lini kisha pigia mstari.Ila waache ujinga kama wanataka hivyo na waislam nao ?DIMAYO nao? Bahai? Acha wakae mtaani wajifunze

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 

Kweli kabisa,siku ya sabato/sabt(jumamosi) mpeni Mungu,siku sita za kazi(from j2 to ijumaa)mpeni kaisari.
 
Wewe umeweza kubainisha unafiki unaoongewa ndani ya biblia, una akili sana; mtu anakanusha dhambi moja kwa nguvu zote hadharani wakati gizani anakumbatia zingine kumi kubwa kuliko hiyo moja anayoitii kwa unafiki. Ni makaburi yaliyopakwa chokaa nje yanang'aa lakini ndani yamejaza uchafu mtupu
 

Nawashauri waende mahakamani.Pia wakumbuke kuwa watachukiwa na wengi na hata wakuu wa chuo watafanya namna ili kuwatimua kwa njia yoyote ile.Mfuata ukweli siku zote hupondwa na huchukiwa na watu na ndo maana watu wengi humu jf wanacomment kwa matusi na kashfa.Cha msingi wazidi kumuomba Mungu naye atawasaidia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…