Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

Yaani we acha tu, udini mwingi lakn matendo ni yaleyale tu. Kuna jamaa yangu nar ni msabato wa jmosi tu lkn kitimoto kama kawaida tunapiga tu.
Wana complication sana hao vyuoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni lazima tujifunze kuvumiliana inapokuwa swala la Imani, kwa wa sabato this is very serious na Imani yao sio ya leo wala Kesho ni kongwe sana, ni ujinga na sio u Tanzania kutovumiliana kwenye vitu vya msingi
 
Ni lazima tujifunze kuvumiliana inapokuwa swala la Imani, kwa wa sabato this is very serious na Imani yao sio ya leo wala Kesho ni kongwe sana, ni ujinga na sio u Tanzania kutovumiliana kwenye vitu vya msingi
SDA ina ukongwe gani...?? Unataka kutuambia kuwa hiyo imani ya huyo mama Ellen ndio special...???
Hivi nyinyi watu nani kawaloga
 
Una mdharau mwanamke ?
UNAPOSAJILI CHUO AU SHULE KWENYE TAASISI ZA UMMA ZENYE MAMLAKA WANAULIZA MITAALA YA DINI? AU WANUFUATA SHERIA ZA USAJILI
Sijajua, mwenye kujua atueleweshe. Lkn kuepuka hayo kama wewe ni mfata dini mzuri ni bora kuchagua chuo/shule ambayo taratibu zao hazitakukwaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waulize washenzi Wasabato wa SAUT nini kiliwakuta
Unamaanissha hakuna uhuru wa kuabudu kama katiba ya nchi isemavyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii mada ni ya mwaka 2013! Naomba tafadhali msiwe mna-update mada za zamani na za namna hii ikiwa tu zina maudhui ambayo ni makali. Hizi mada huwa zinafaa tu kujadiliwa wakati wa tukio lenyewe halafu baada ya hapo mnaachana nazo, mada inakuwa haijafungwa ila inajifunga yenyewe.

Hata hivyo naomba nitoe angalizo kuwa as long as Jumammosi huwa haipo kwenye schedule za masomo na wala mitaala ya vyuo haisemi kuwa siku hiyo inaweza kutumika kwa ajili ya masomo au mitihani, ni mtu asiye na hekima tu anayeweza akaingia kwenye mgogoro na watu kwa ajili ya siku hii. Uhuru wa kuabudu ni muhimu sana kwa binadamu, sawa tu kama ilivyo hewa katika maisha ya viumbe hai. Mimi kwa kweli kama nina mamlaka halafu ukatokea kiongozi ukaingia kwenye mgogoro na wanafunzi na ambao unauhusiana na imani yao ya kuabudu, sekunde ni kubwa unakuwa umeshasafisha kila kilicho chako ofisini. Machafuko makubwa ambayo huwa yanakuwa triggered na issues za imani huwa hayasababishwi na vitu vikubwa sana, ni mambo madogo madogo tu kama haya. Tuseme mimi ni msabato, Jumamosi ninatakiwa niende kwenye Ibada, wewe unalazimisha niingie darasani kufanya mtihani? Huu ni uungu mtu, mtu anapewa madaraka halafu anajiona yuko juu ya kila kitu. Tabia mbaya sana!
 
Tusijadili mada za zamani? Waambie mods wazifute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msituletee ushenzi wenu....SDA ina ukongwe gani...?? Unataka kutuambia kuwa hiyo imani ya huyo mama Ellen ndio special...???
Hivi nyinyi watu nani kawaloga

Mimi wala sio msababato, haukuwa na haja ya kutukana twaweza tu kupishana bila kutoa lugha za kuuzi
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukweli mchungu sana ulimwambia, mwenyewe huwa sielewi vyema hili jambo la sabato. Kuna mademu wa kisabato wanapigwa miti sio kidogo huku kitaa na wana wanakula mademu sio kidogo tena kwenye hizi kwaya usiseme mazeee.
Anyway, hao jamaa waache ujinga buana, mbona wanakuwa kama sio waliompokea kristo. Hivi huwa hawaisomi ijili ya paulo kwa wakolosai na kwa waefeso. Amekataa mambo ya kushikilia sheria za Musa ili kristo alikuja kwajili yetu na yeyote atakayemuamini aokolewe. Sasa mambo ya kushikilia amri ya kutunza siku ya sabato tu alfu amri zingine kama uzinzi na uasherati unafanyika.
Binafs, natambua haki ya kuabudu imani yoyote ili mradi haivunji katiba ya JMT. Waaache unafiki hai vijana wafanye mtihani, na uking’ang’ania utunzaji wa sabato ni sawa na kukataa Neema aliyotuletea Kristo.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Hahaha tufike wakati tuwe serious na future zetu maana dunia hii sio kisiwa cha mtu au watu wachache ni cha watu wengi na viumbe kama vyote, swala la kugomea shughuli za taasisi au jamii kwa kigezo cha imani na ukijua fika ulipotaka kujiunga na hiyo taasisi au jamii fulani ulikubaliana na miogozo, taratibu na sheria zake sidhani kama ni hekima na busara au werevu wa kujiwekea vikwazo binafsi ukihisi utasonga mbele vyema. Ni jambo la hatari hao wanafunzi au vijana wenzetu wamefanya na wanahitaji kupewa adhabu kali zaidi ya hiyo ikiwezekana.

Kama wanataka kupata kipaumbele cha yale wanayoamini au kusimamia wanatakiwa kuunda umoja wao kwanza na kufanya utambuzi wa maandishi kwa taasisi usuka juu ya tamaduni zao kama ombi na pale wakishapewa uhalali wa hitaji lao hilo ni rahisi kutoshiriki shughuli za kijamii kama hilo walilogoma/kukahidi kushiriki ikiwa ni Jumamosi maalimu kwao kuabudu. Hata shule ya sekondari niliyosoma walitumia utaratibu wa kuanzisha umoja wa ASSA na uongozi wa shule ukaafikia kuwapa kipaombele cha Jumamosi kuwa excluded na shughuli zote hata wakati wa kufunga walithaminiwa. Hata Uyaudini (Israeli) kuna utaratibu maalum na unaotambulika. Wawajibishwe na wajirekebishe.
 
Hakuna taratibu zilizo kinyume na katiba. Soma Biblia kutoka 20 kifungu cha 8,9 10 nakuenderea, inawaamuru wasabato siku hiyo wasifanye kazi yyte.
 
Hivi JumaMOSI ni sabato?
Jumapili ni siku ya kwanza ya juma, siku ya ufufuo siku ya pasaka baada ya ijumaa kuu maandiko yanasema alifufuka siku ya kwanza ya juma na ndo maana hujawahi sikia pasaka ikawa jmosi.
 
Hatuwezi kuvumiliana katika kila jambo,kuna mambo mengine lazima tuambiane ukweli,
Ni lazima tujifunze kuvumiliana inapokuwa swala la Imani, kwa wa sabato this is very serious na Imani yao sio ya leo wala Kesho ni kongwe sana, ni ujinga na sio u Tanzania kutovumiliana kwenye vitu vya msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusiite watu wapinga kristo ilihali wanamtafuta.
 
Hao si wasabato ni wachafuzi wa imani kazi yao kuchafua maana ya sabato. Hawana tofofauti na wale wanaosema waislamu ni magaidi.
 
Kwanza kabla ya mjadala kuendelea, ningependa kujua ni vitu gani ambavyo si ruhusa kwa SABATOS kuvifanya siku ya jumamosi, tukisha jua hilo then, tutaweza kuuweka mtihani katika kundi gani, baadae kutoa maamuzi, karibu..
Hivi mfano ameugua yuko hoi hapelekwi hosp. Mbona ingekuwa Ijumaa au Jpili waumini wake wangefanya mitihani. Hao ni halali kutimuliwa chuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…