Wanafunzi wa St. Mary's International Schools na mapenzi ya jinsia moja

Status
Not open for further replies.

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Wadau salam mbele shule hizi za St. Mary's zimekuwa kama mtambo wa kuzalisha vijana wanaopenda mapenzi ya jinsia moja (Mashoga).

Pengine ni kutokana na namna lifestyle ya hapo shuleni kuwa kizungu mno. Kuna uvumi mtaani kwamba kuna wakati Fulani aliyekuwa Dean of Students ambae sasa ni MC & Mtangazaji Maarufu redio CLOUDS FM alikuwa mpaka anatongoza wanafunzi wa kiume ili kuwa nao mahusiano.

Tafadhali Wizara ya Elimu hususani WAKAGUZI WA SHULE fuatiliaeni kinachojiri pale St. Mary's kama ni kweli, vinginevyo tunazalisha jeshi la Mashoga TZ kutoka shule hii inayofungua matawi kila sehemu nchini na wakati mwingine kwa Kubadilisha tu Majina Mara KENTON, EAST AFRICA INT'L SCHOOLs etc.
 
Ni kweli tupu Shule hizi za St. Mary's wakati zinaanza wamiliki wake walikimbilia kuwachukua walimu toka KENYA & UGANDA walipokuja wakajaza uzungu mwiiingi ukiwamo ushoga hapo shuleni ikawa ni jambo la kawaida kukuta vijana wakichimbana MAV.I kakawa kamchezo ka kawaida.

Wengi wa Graduates wa St. Mary's ama ni Mashoga au wanawake wengi ni Lezbian.
 
Nimebahatika kusoma nao chuo hao Graduates wa kiume St. Mary's Intl Schools na sasa nafanya nao kazi kiukweli utagundua wana tofauti kidogo na graduates wengine toka shule nyingine wana tabia za kike/ushoga maana kuna mmojawapo alinitumia message ya kutaka nikampasue jipu liliotokea kwenye njia ya haja kubwa duuh kufika kadai alikuwa ananitania na ukweli ni kuwa anataka nimpphire!

Wengi ni mayai/soft sana na hawapendi kufanya kazi kwa bidii. Wanapenda mteremko.

Sasa nasikia wanataka kufungua Chuo kikuu pale Tabata hofu yangu kisije kuwa ni Chuo cha kuzalisha tena MaShoGa. Wale wa Sekondari wanatosha.
 
St. Mary's ni janga lingine hili. Yaani ukipeleka motto pale akitoka anakuwa amevurugwa vya kutosha kuanzia kichwani mpaka huko nyuma kwenye mfumo wa maji taka a.k.a DAWASCO.
 
wakati Fulani aliyekuwa Dean of Students) ambae sasa ni MC & Mtangazaji Maarufu redio CLOUDS FM nae alikuwa mpaka anatongoza wanafunzi wa kiume wamuingize "MSUMARI WA NYAMA"

mmh we bwana uyu jamaa si mchungaji hapo kwenye "inchi ya ahadi.." ama ami dreaming..!!!!?
 
Nakubaliana na mtoa mada... binafsi wanafunzi niliosoma nao olevel ambao wametoka st marys aisee wanasikitisha.

Kuna mmoja alikuwa anaitwa Brian, alihamia shuleni kwetu akiwa form 3. Eti alkuwa anaogopa kulala peke yake kwenye hivyo akawa anaomba kampani, washkaji walivyomjulia wakawa wanajipakulia tu
 
Hahahah. . . Dah nimecheka mpaka nikapaliwa na pilau la harusi....Eti watoto mchele mchele
 
Kama kitu hicho ni cha kweli, naomba serikali ichukue hatua haraka sana, tusijekujikuta nchi ina wapigania haki za sodoma na gomora kama wamagaribi.

LAKINI KAMA HAKUNA UKWELI WOWOTE, naomba tuangalie isijekuwa ni vita vya kibiashara vya wamiliki wa shule hapa, mkachafulia watu majina na kuharibu biashara za watu. wanaochangia uzi huu naomba wawe na uhakika na wanachosema.

Mungu awe shahidi wako unapoandika, kuchafuliwa jina au biashara ni kitu kibaya sana.
 
Hili tabia ya kusafishana mitaroni ilikuwepo sana kwenye unisex schools japo za serikali haikuwa sana. Nakumbuka iyunga mtoto wa mbunge aliyeshindwa na sugu alifukuzwa kwa kupakua wenzake. Msalato walisikika sana kwa ulesbian!
 
Nahisi mama rwakatare alikufukuza kazi umeamua kumdiss humu. mbona tumepita huko na hizo story zako hsziexist? usitudhalilishe
 
Sio st marry tu shule nyng zinazojiita st flan watoto wengi wanaotoka hapo ni mchelemchele...tunawaona huku chuon.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…