wanafunzi wa udom (udom chamber) walipotembelea kituo cha cha watoto yatima miuji mkoani dodoma

kingxvi

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
879
Reaction score
151
nimefurahishwa sana na jana jinsi wanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma walipofanya ziara ya kutembelea kitua cha watoto yatima miyuji nje kidogo ya mji wa dodoma walipeleka zawadi mbalimbali kama unga wa sembe kilo 30 sabuni ya unga kilo 15 chumvi madaftari,kalamu,sukari kilo 15 sabuni za vipande box 2 na mbuzi kitendo hichi kimenifurahisha na wanafunzi wa vyuo vingine yapaswa muige
picha kwa hisani ya bongostarlink
 

Attachments

  • vitu.jpg
    12.5 KB · Views: 49
  • now.jpg
    60.9 KB · Views: 57
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…