wanafunzi wa udom watoa msaada wa vifaa vya usafi

wanafunzi wa udom watoa msaada wa vifaa vya usafi

Kiboko Yenu

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
311
Reaction score
66
leo wanafunzi wa chuo kikuuu cha dodoma wanaounda organization inayojulikana kama udom chamber leo wametoa msaada wa vifaa vya usafi na mazingira katika shule ya sekondari viwahttp://issamichuzi.blogspot.com/2012/03/wanafunzi-wa-udom-wafanya-ziara-katika.htmlndani iliyopo mjini dodoma pia walipata nafasi ya kuzungumza na wanafunzi kuhusu umuhimu wa mazingira
kwa habari zaidi bofya hapa
MICHUZI: WANAFUNZI WA UDOM WAFANYA ZIARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA VIWANDANI ILIYOPO DODOMA MJINI NA KUKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA USAFI LEO
 
Hongera vjana ndo wajib ktk jamii yenu kama wasomi!
 
Back
Top Bottom