mtoa mada umechokoza vilaza wa UDDHM unaona wanavyokushambulia, uddhm vilaza kwl hawasom changes in time, bado wanaishi enzi za mwalimu
hawa vilaza bado wanaishi enzi za chuo kimoja/enz za mwalimu
Kama tulioko udsm ni vilaza,bac vyuo vingne kuna vilaza square..mana vipanga wote tunaopga fresh form 6 tuko udsm, na wachache wako muhimbili..huko kwingne ni makapi tu.
Kwa mfano nina div 1 ya 3 nataka nisome masomo ya Agriculture unadhani nitaomba UDSM!?
UD kimebaki jina tu!!Zamani nilikuwa UD ndio kila kitu!lol...!mtu huwezi kwnda mpaka upige one kali,kumbe si lolote c chochote....!!wana kibao wana 3point15 wapo hapo wanafanya harakati za migomo.ETI WANA HARAKATI,nalo hili limo kwnye harakiti?kwli bongo hatuna wana-harakati.UDSM KWISHA HABARI YAKE....hata cku moja siwezi kumshauri ndugu yngu kuja-kusoma hapo...atamaliza degree lakini kichwani Mweupe mweupe mweupe.
Nafurah kupita udsm,na najivunia sana sitapasahau na ntapaheshm udsm hata niwe wapi,next kaming yearz ntarud inshallah!
Kwa kweli hawa majamaa wana-raha kwelikweli,manake katika miezi mi4 ya semester 1,wenyewe wanasoma miezi mi2 tu.Miwili yote hekaheka za migomo...!nahisi Tanzania mzima wao ndio wananyimwa haki zao!!lakini hakuna!!hii itakuwa enrollment ya VILAZA i.e SENETOR na wengineo,hawa ndio haswa wanasababisha chuo kisitawalike.
As-salaam alykum VILAZA WOTE WA UDSM.
Kujisemea bibi faizafoxy "UNANICHEKESHA" kwn wewe uhoni??au sio mdau wa elimu wewe??wadau wote washaelewa ninachosema!kama wewe bdo "KALABAO"
Nadhani wewe ndio utakuwa kilaza no. Moja.Hivyo vyuo vyenu vya kata hamna ubavu wa kudai haki zenu kwa njia yoyote ile kwasababu kwanza asilimia kubwa mnapata udahili kwa njia za panya (hamna sifa).So mnaogopa kudai haki yenu hata kama mnadhulumiwa.Ujifunze jinsi ya kuleta hoja hiyo itasaidia kukipa status chuo unachosoma.Upupu uliouandika hapa unaonyesha dhahiri uelewa na taswira ya chuo ulichopo.Wanafunzi wa vyuo Uingereza walipokuwa wanagoma 2010/2011 kuhusu ongezeko la ada nao walikuwa vilaza kushinda chuo unachosoma .!Ama waadhiri wa Makerere walipogoma takribani mwezi 1 2011 wakidai haki yao wao pia ni vilaza....
unabisha nini chuo chako hakiko hata kwenye African university rank academic performance ipo Udsm NA MUHAS
Mnaboa na haya mabishano yasio na msingi ... Wengine tuko mbele huku tumeona mavyuo ya maana yenye labs zilizokwenda shule kuliko UDSM ambayo kama ukiibeba na kuileta huku haina tofauti na high school. .. mi mdogo wangu wa kike kipindi kile watu wanafanya mtihani ili kuingia chuo alipata UDSM na UDOM... Alipiga chini UDSM na kukimbilia UDOM ... So ni mapenzi ya mtu asome wapi
Sent from my HTC Incredible S using Tapatalk
Eti wenyewe wanasema chuo cha kiumeni!!kiumeni ndio migomo hisiyokuwa na msingi??
Kama mwisho wa mgomo ni mazungumzo,kwnni musianze na mazungumzo kwanza!!AU munaona raha kugoma!!NYAMBAFU NYIE...