Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!
imagine na hatuwaonei wivu,juu hakuna hata chenu kimoja hapo[emoji16][emoji16][emoji16]Nyang'aus kwa maringo ya kuzijua na kuongea lugha zifuatazo;
Kiingereza
Kiswahili
Kifaransa
Mandarin
German
Spanish
Lugha za Asili
A blessed Nation indeed na ndio maan Nyang'aus ndio peke yao hawako LDC in East and Central Africa.
Watu wa miwivu sisi wabongo tujivunie Kiswahiri katarist ya viwanda vya vyerehani na Koroshow.
Kuolewa kiuchumi 😂Kwa madeni Kenya iliyokuwa nayo kwa Waxlchina, ni jambo jema wakianza kujifunza tamaduni za waliowakopa.
Ndio maana hatumo kundi la LDC kama Danganyika and we don't care what you think about us, cheki vile tumebaki na Lamu Port nyie Bagamoyo mkataba ukawashinda kwa kupeleka uswahili wa undugu na Mchina mkaangukia pua.imagine na hatuwaonei wivu,juu hakuna hata chenu kimoja hapo[emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa juu mamayako ameolewa na babayako, Ina maana anahadaiwa? 🤔🤔Kuolewa kiuchumi 😂
nyie mumeweka biasha kwenye SGR na china si uswahili wacha tuwaone mnapata faida gani[emoji23][emoji23][emoji23].Ndio maana hatumo kundi la LDC kama Danganyika and we don't care what you think about us, cheki vile tumebaki na Lamu Port nyie Bagamoyo mkataba ukawashinda kwa kupeleka uswahili wa undugu na Mchina mkaangukia pua.
Mchina akikiroga Mandarin, tunaweza kusikia na pia kuongea sio kungoja mkalimani ambaye hata hujui Kama anasema kweli ama ni pumba tu. Nyie ni Kama ile miafrika ya kitambo wa kusomewa bibilia na kuamini usichokielewa...bure kabisa. thanks
Haha we jamaa mswahili sanaWenzetu hawana uwezo huo wa kuongea na kuelewa lugha zaidi ya tatu kwa ufasaha. Mjerumani aliwanyanyasa mababu zao kwa miaka mingi ila hata tusi moja tu la kijerumani hawajui. Kiingereza nacho kwao ni kama nyuklia science. Ila utawapata wengi wao na majina kama James Peter na Jane John, kwasababu wanadharau lugha zao za kiasili. Yaani wapo wapo tu, wanalishana limau, matunda ya sera yao mbovu ya ujamaa.
Wenzetu hawana uwezo huo wa kuongea na kuelewa lugha zaidi ya tatu kwa ufasaha. Mjerumani aliwanyanyasa mababu zao kwa miaka mingi ila hata tusi moja tu la kijerumani hawajui. Kiingereza nacho kwao ni kama nyuklia science. Ila utawapata wengi wao na majina kama James Peter na Jane John, kwasababu wanadharau lugha zao za kiasili. Yaani wapo wapo tu, wanalishana limau, matunda ya sera yao mbovu ya ujamaa.
Ndio, wenzetu kutoka Equitoria kule Juba na Malakal.Wenzenu??